SAMALEN TV
@Samalentv
Tech experts worldwide || Managed by @Samalentips The CEO and President of SAMALEN TV Platforms.
Salama na wenzake akina rita cant heal ile kumwambia harmonize kuwa hajui kuimba it was big mistake they ever made , wewe sio Mungu huwezi ku predict maisha ya mwenzako 🫵
Bad thing ni kwamba saivi watu ambao wanafanya janja janja kupata hela wanajiweka karibu sana na watawala ili wafiche maovu yao, it is so sad 🫵
Hongereni sana VVIP, na wengine maana mkeka huu nilitoa bure kabisa kupitia chat.whatsapp.com/DDT1WbDxoiWGRn… Jiunge mapema kama haupo 👊👊
Happy Birthday – Samuel Efrem Founder & CEO – SAMALEN TV Another year, another chapter of growth, purpose, and vision. From humble beginnings to building a platform that inspires and empowers I’m proud of how far we’ve come. Thank you to everyone who’s been part of the journey.
Just saw this and I’m 100% in! 🔥 I’m a creator pushing boundaries in tech, media, and youth empowerment across Africa with SAMALEN TV. Let’s make history together on August 1st please send me DMs, I’m ready! @MrBeast
Vijana acheni kudanganyana , kwenye maisha yako maamuzi yako ya Leo, ndio matokeo yako ya kesho!! Kuweni makini na wasemaji wa watu mitandaoni!! Binafsi sijui ni wapi hadi sasa sijawekeza Amkeni!!
Kijana wa miaka 20 unanunua HISA kwani Una shida gani?
Sijawahi kuona mtu mpumbavu Kama huyu jamaa, hivi unawezaje kukanusha wema uliotendewa na mheshimiwa Rais @samiasuluhu ? Ni laana kubwa sana unajitafutia !! Yule chalii wa safari boot anakudanganya sio?
Ni utaratibu wangu kuwapa zawadi watu randomly hata Kama siwajui!! Comment namba yako hapa na mtu wa 89 na 123 na baadhi nitawanunulia kahawa hapa @Samalentips ✊ Uwe ume repost ili nikuone kwa urahisi comment Jina Namba na mtandao husika!! Malizia na #Samalentips 👊
We will be there boss 🙏
Ndugu, jamaa na marafiki, Tunakukaribisha kwa moyo mkunjufu kushiriki nasi katika kumpongeza na kumtakia Samuel Efrem (CEO wa SAMALEN TV) heri ya siku yake ya kuzaliwa Jumapili ijayo! ✨ Fanya jambo lolote kumpongeza kupitia link hii hapa 👇: 🔗 take.app/samalenshop/p/…
Kama haujajipanga, ukiambiwa uje usije!! Kumbuka una familia 🤝
Ukija uwe umejipanga kukabiliana na nguvu ya UMMA!!!
Wireless inatumia mionzi na ni hatari sana tujipange kurudi kwenye wired na kama upo kwenye wired usiingie kwenye wireless maana hizo radiations zinaharibu ubongo na zina madhara makubwa sana
Norminated by FORBES as Under 30 among 30 young enterpreneurs this is good to me as SAMALEN TV 🙏

TRA 💔
TRA nawaita mara 3 , siku nikiona mahala popote mmeitumia idea yangu nitawapeleka mahakamani, maana najua idea niliyotoa ni very unique ila tangu mwanzo nilijua mnataka kucheza na akili zetu mchukue ideas zetu for free then muweke watu wenu Olewenu @TRATanzania 💔
Niliona @CarolNdosi analalamikia huduma za @GranMeliaHotels kiukweli siwezi ku blame huduma zao maana mara nyingi nimekuwa nikienda napata huduma nzuri sana , ninachoona maybe ni namna utakavyojiweka na kitu utakachoagiza , huduma mbaya unaikaribisha mwenyewe 🤣
Gran Melia Amber Restaurant Butter & Scotch Unaweza kuka hapo ukaonekana kama umekuja kuibia wageni 🤣🤣 kuhudumiwa utasubiri sanaa na wanakupita tu
TRA nawaita mara 3 , siku nikiona mahala popote mmeitumia idea yangu nitawapeleka mahakamani, maana najua idea niliyotoa ni very unique ila tangu mwanzo nilijua mnataka kucheza na akili zetu mchukue ideas zetu for free then muweke watu wenu Olewenu @TRATanzania 💔
I no longer have access to my account, and unauthorized activity has been occurring under my name. Please help me recover my account as soon as possible, as it is important for my work . I am ready to provide any verification needed. @instagram @Meta @facebook
That moment when someone gives you a ride and you stick your head out the window to wave at everyone on the road 🤣