Samalen Tips🤴
@Samalentips
USHINDI NDIYO JADI YETU |Blogger|YouTuber|C.E.O,Manager&Boss @SamalenTv © I do Tech&Sports #SamalenTips🤴♱👽
Hongereni sana Tunaanza Wiki Kibabe sana USHINDI WA MIKEKA YETU JANA SAMALEN TIPS VVIP Odds: 36 ✅✅ Odds: 16 ✅✅ Odds: 22 ✅✅ Odds: 7+ ✅✅ Tuko hapa kukupa thamani ya tofauti(Tumeanza upya) Hutojutia maamuzi ya kuwa SAMALEN TIPS VVIP msimu huu mpya NAKUAHIDI @Samalentips




Huku Arusha kuna mtu kila siku anazunguka na Helicopter huko juu sijui ni nani?? 🤣
Happy Birthday ! Wishing you endless joy, health, and success in the year ahead. 🎂🎉
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa... Happy birthday to me..🎉🎉🎉🫶🫶
Salama na wenzake akina rita cant heal ile kumwambia harmonize kuwa hajui kuimba it was big mistake they ever made , wewe sio Mungu huwezi ku predict maisha ya mwenzako 🫵
Hivi mzungupori aliendaga wapi? Nimemkumbuka sana yule jamaa!! This is appreciation post kwa ajili yake 🙏
Nikikumbuka hii nacheka sana , muiteni Sativa na taivina waambieni nimewakumbuka sana aisee wani unblock tuongee 🤣🤣
Kijana aliyetafuta umaarufu kupitia mimi akiwa na tapeli hawa watu hamwajui ila kuna mipango ambayo wanaiset na nina hakika watalizwa watu sana hapa hamtaamini 🫢🫢
Bad thing ni kwamba saivi watu ambao wanafanya janja janja kupata hela wanajiweka karibu sana na watawala ili wafiche maovu yao, it is so sad 🫵

JOIN chat.whatsapp.com/DDT1WbDxoiWGRn…
Hongereni sana VVIP, na wengine maana mkeka huu nilitoa bure kabisa kupitia chat.whatsapp.com/DDT1WbDxoiWGRn… Jiunge mapema kama haupo 👊👊
Hongereni sana VVIP, na wengine maana mkeka huu nilitoa bure kabisa kupitia chat.whatsapp.com/DDT1WbDxoiWGRn… Jiunge mapema kama haupo 👊👊




Hbd bro
Happy Birthday – Samuel Efrem Founder & CEO – SAMALEN TV Another year, another chapter of growth, purpose, and vision. From humble beginnings to building a platform that inspires and empowers I’m proud of how far we’ve come. Thank you to everyone who’s been part of the journey.
Happy Birthday – Samuel Efrem Founder & CEO – SAMALEN TV Another year, another chapter of growth, purpose, and vision. From humble beginnings to building a platform that inspires and empowers I’m proud of how far we’ve come. Thank you to everyone who’s been part of the journey.

Ninampongeza Mheshimiwa Rais @SuluhuSamia kwa kuonesha uongozi wa mbali kuona kupitia DIRA 2050. Dira hii ni mwanga wa matumaini kwa kizazi chetu na kijacho. Asante kwa kutupa mwelekeo wa maendeleo jumuishi na endelevu. Mungu akupe afya na hekima zaidi. #DIRA2050 #SamalenTV

Kijana aliyetafuta umaarufu kupitia mimi akiwa na tapeli hawa watu hamwajui ila kuna mipango ambayo wanaiset na nina hakika watalizwa watu sana hapa hamtaamini 🫢🫢