Balyx
@Balyx_
On 18th of December 2022, I witnessed MESSI WINNING A WORLD CUP☝️
Hello @elonmusk, we WANT LEONEL MESSI on this platform. Please convince him to join us here. Tell him how perfect this platform has become. I’m sure he will listen to you, coz you’re both 🐐 🐐s
IPHONE 14 SERIES FULLBOX 💥 𝟏𝟒 𝐏𝐑𝐎 *GB128 -1,500,000/=* *GB256 - 1,600,000/=* 𝟏𝟒 𝐏𝐑𝐎𝐌𝐀𝐗 *GB128 -1,620,000/=* *GB256 -1,730,000/=*
Sukari atanogesha Instaprenyua kesho! Ujiandae kwa kuvunja mbavu maana host wetu wa kesho unajua ucheshi wake. Leo ndo mwisho wa usajili, fanya kujisajili crdb.tz/instaprenyua #crdbbank #instaprenyua2025 #tunakusikiliza
Mambo vipi 🖐 𝑲𝒂𝒓𝒊𝒃𝒖 𝒖𝒋𝒂𝒛𝒆 𝒇𝒐𝒎𝒖 𝒇𝒖𝒑𝒊 𝒌𝒖𝒉𝒖𝒔𝒖 𝒂𝒇𝒚𝒂 𝒚𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒍𝒊 𝒚𝒂 𝒗𝒊𝒋𝒂𝒏𝒂. Maoni yako ni muhimu yatasaidia kuendeleza uchechemuzi. Taarifa zako zitabaki kuwa siri na hazitatumika mahali popote pasipohusika. Link: docs.google.com/forms/d/e/1FAI…
Mnavunja Mkataba wa Mchezaji wa Team kama Masandawana then mnampa mkataba wa Mwaka Mmoja??? Akili mtu wangu

Yaaani usajili mchezaji kama Habib Kiyombo useme umesajili top player wa Mamelod Sundowns? Kenges😆
Hiyo Barua inayosambaa ya Mwenyekiti wa Mkoa wa Simiyu ina Mashiko? If yes then acha tuone inapovuja pazibwe
Fuatilia moja kwa moja Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa, yanayofanyika Mtumba – Dodoma leo tarehe 25 Julai 2025, yakiongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. #SikuYaMashujaa2025 @ikulumawasliano @SuluhuSamia #DiraYaSamia youtube.com/live/vvJ8gjVKh…
Wale wazee waliopigana vita ya Kagera washalipwa Mafao yao kweli?
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika leo tarehe 25 Julai 2025, katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mtumba, jijini Dodoma. Viongozi waandamizi wa…
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Watanzania katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika leo tarehe 25 Julai 2025, katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mtumba, jijini Dodoma. Viongozi waandamizi wa…
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei jezi ya sasa 27,000/= 👉Bei jezi za zamani(Vintage) 35,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
NGUZO KUU YA TATU DIRA YA TAIFA 2050 Nguzo ya kuu ya Tatu ya Dira ya Taifa ya maendeleo 2050 inalenga kulinda na kutumia rasilimali za asili kwa njia endelevu, kuimarisha uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kupitia…
✅ Jephté Kitambala to Azam FC is a done deal! He’s completed his medicals but will only join after CHAN with DR Congo. 🇨🇩✨ Ibenge got his man. 🔥 #Transfers #AfricanFootball
Mbona sasa kama Kampuni zinaingizwa hasara hapa
Maulid Kitenge na Zembwela wamelambwa na rungu la ithibati kumbe??
Mifuko ya hifadhi ya Jamii nyingi zinalalamikiwa. Hizi Taasisi zichunguzwe zina mengi sana Naamini zikishakua Imara then mambo yatakua salama
NGUZO KUU YA PILI YA DIRA YA TAIFA 2050 Nguzo ya Pili ya Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 inalenga kujenga jamii yenye afya, elimu bora, ujuzi wa kisasa, na usalama wa kijamii kwa wote. Dira hii inatambua kuwa maendeleo ya kweli hujengwa juu ya watu waliowezeshwa kimwili,…
NGUZO KUU YA PILI YA DIRA YA TAIFA 2050 Nguzo ya Pili ya Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 inalenga kujenga jamii yenye afya, elimu bora, ujuzi wa kisasa, na usalama wa kijamii kwa wote. Dira hii inatambua kuwa maendeleo ya kweli hujengwa juu ya watu waliowezeshwa kimwili,…
Miguu ya kuku, chips za kupima, maandazi ni biashara ndogo ila faida yake inahesabika. Mama mjasiriamali wa Temeke hakati tamaa hata akiuza miguu ya kuku kwa mia mbili. Leo anachukua mkopo, kesho anamiliki freezer yake mwenyewe Na sasa, kwa mkopo mdogo kutoka @softfinancetz,…
Panda SGR BUREE kwa kutumia SimBanking Lipa tiketi zako kupitia SimBanking App au kwa kupiga *150*03# na ujishindie tiketi bure bila jasho huku pia ukifanya miamala yako mbalimbali kwa wingi unajiweka kwenye nafasi ya kushinda Bima ya maisha, IST au Harrier #SimBankingHuMuTu
Uwanja wenye viwango vyote vya FIFA size ni 6X6 box bed maua 4 Bei: 380k 📍Tunapatikana Ubungo Kibo WhatsApp/Calls 067 898 0885 Tunafanya delivery na mikoani tunatuma (kwa gharama ya mteja) ✅
If Popat pulls in this, then he’s GOATED in my book Receive the call, Ranga Chivaviro
