Dr. Ranya
@MayengoDr
1. Senior Lecturer, Nelson Mandela - African Institution of Science and Technology; 2. Competence Based Teaching facilitator, Learning Inspire
Imagine unakutana na texts hii kutoka kwa namba usioijua “Mjomba nisaidie ela kidg” Anyways, sijui hata nataka kusema nini, ngoja ninyamaze tu!
Pombe haimalizi hela ila hela ndio humaliza pombe! Ukitaka maelezo zaidi nitarudi
Pombe na wanawake kipi kinamaliza Hela??
Sekunde 5 za mwanzo niliwazidi hadi professional athletes baada ya hapo kilichobaki ni historia 😂

Kuna raha katika kuaminika! Kuwa na cycle ya watu ambao hawajiulizi mara mbili unapowaomba “msaada kwenye tuta” unapokuwa umekwama mahali na wakafanya bila kusita! Tuwekeze kwenye kuaminika na tusichukulie poa networking zetu!
Tumepoteza ndugu na marafiki baada ya kuwaazima fedha zetu.
Mambo imeanza kuchemka, lakini bado hujachelewa. Kamati ya maandalizi inasema haipoi, wayside kits mpaka siku ya tukio. Njoo kama ulivyo na 35k yako mfukoni (25k kwa watoto) utahudumiwa! @NM_AIST @NMBTanzania @CRDBBankPlc

Ikiwa utapata fursa ya kuchagua kazi nyingine utakayopenda kufanya kwa malipo sawa na kazi unayofanya sasa, je utabadili kazi uliyonayo sasa?
Oooh! 😯
My father told me that the best way to deal with a woman is by ignoring them and I never for once joke with it. Don’t argue or hit them, just ignore them and leave them to see how foolish they sound. Ignoring hurts them and break their ego😂😂
Kuna watu wana nasaba na nyuki na nyota ya ng’ombe. Kila palipo na asali na maziwa hakosekani! 🫣 🔥 🔥
Tupo na Mh.Mbowe hapa Jakaya hakika ameisoma Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Hii dira imejaa asali na maziwa.😃🔥🔥🔥
Tusifukue makaburi, muungano wetu no wa kipekee duniani. Tuulinde
Eti wewe Odo @NajjatOmar kwa nini hamuutaki Muungano? 😄 Tuliwakosea nini huku Bara?
Mojawapo ya swali baya linaloulizwa na wazazi wengi! 🫣
Kijana amefaulu CBG kozi gani inamfaa kwa kuzingatia soko la ajira