Prophetess ,Dr.
@__sheriii
GOD FIRST:❤️#wife#Mom #CCM Clarissa&Clarence# YANGA 💚& ARSENAL ❤️ Co-founder @Afrigardening .Instagram @sheritotostore .Mtetetezi wa wajawazito
But the fruit of the Spirit is love, joy, peace, forbearance, kindness, goodness, faithfulness, gentleness and self-control. Against such things there is no law. 🙏 Galatians 5:22-23
Sema kuna kichwa pale chakuitwa Godwin Semunyu kinaratibu vizuri sana mambo ya sports
Jamaa wa Kijani mdogo mdogo wameshapigwa bao na hawa jamaa wa Ligi kuu kwenye mambo ya mbio mbio. Mambo ya kibiashara bado Kijani wapo mbali nadhani.
Nakata 50M natoa wenge kwanza huku nikiwaza chakufanyia hiyo 50
Hivi ukiwa na million 100 sasa hivi unaifanyia nini?
📍IKULU, Chamwino Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Korea Infrastructure Finance Corporation (K-FINCO) Dkt. Eun-Jae Lee aliyeambatana na ujumbe wa makampuni 11 makubwa ya ujenzi ya Korea, Ikulu…
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila John
Wanasema unyenyekevu na an understanding hubby, "umeniudhii kalale kwenye kochi sebuleni" Na lenyewe linaenda
Ndo mlee watoto vizuri
Mungu atusaidie sisi tuliobaki na watoto
Mke wako kaenda Marathon Dodoma na watu wa ofisini kwake na wewe umebaki Dar na watoto.
Mihogo yenye mchuzi mwingi wa kachumbari hapo hamna ...wacheze wanapochezaga😀😀
Leo uko nao😂😂😂😂
Unyama sana ila hizi Parcel zimezoea ndondo cup,huwezi kuzipeleka hapo. Hapo wachezaji wa CUF ndo panawafaa.
Sanaan ni unyama
Kuna yale machimbo ya mambo yenu. Siwezi kuyataja hapa nitawaambia kwa siri.
NB St.Gaspa kama huna cheti cha ndoa USIENDE. ZAMA MAKOLE HAPO KATI .
Mnaopenda utulivu...kuna Midland Hotel,La Vine Resort,St.Gaspa.
Maeneo yalichongamka 1 Renibo 2Bambalaga 3Waswano 4Prime 5Talatala 6Nkuhungu(nimesahau jina)hapa utapata kila kitu. 7Capital
Mnaopenda vurugu kuna Lodge nyingi sana maeneo ya hapo Makole na ni karibu na sehemu za starehe.
Mnaopenda utulivu...kuna Midland Hotel,La Vine Resort,St.Gaspa.
Weekend deserves Good Food😋🍱🙌🏾 Mawasiliano 0629076937📞 whatsapp 0718893552 Delivery popote Dar es salaam 📍kigamboni
Nikajua Lubasha
Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa. Na yeye aichunguzaye mioyo aijua nia ya Roho ilivyo, kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo Mungu. Warumi 8:26, 27