Cryptowhales
@Cryptodewhales
Medical Scientist 🥼💉 Crypto hunter 💰💱 Pontifical Ambassador 🇻🇦 Skeptic 🤔 & Optimistic 🤨 Liverpool YNWA
Kama kweli Demokrasia inakua nchini na ndani ya chama chetu, kwanini mnauchukia uamuzi wa Polepole?
Tungekuwa tupo tayari kupoteza usingizi kuhoji kwa vitendo, bila kuchoka kutaka kujua walipo wapendwa wetu waliopotea au kutekwa, pengine imani ya ukombozi wa Taifa hili ingekuwa kubwa zaidi. Ukimya wetu unaochagizwa na woga wa kupoteza pumzi, ni kilema kibaya zaidi.
Important message for Pioneers who have not migrated to Mainnet yet: Check Step 3 of the Mainnet Checklist to make sure you’ve completed two-factor authentication for your Pi Wallet! This is an essential requirement for Mainnet migration.
REFORMS will bring sanity REFORMS will bring accountability REFORMS will bring transparency REFORMS will bring justice REFORMS will bring rule of law REFORMS will fight corruption REFORMS will decentralize power REFORMS will strengthen democracy NO REFORMS, NO ELECTION.
JF KUMBUKIZI: Akizungumza katika moja ya hotuba zake, Hayati Mwalimu Julius Kambarage #Nyerere, aliwahi kuonya tabia ya CCM na vyama vingine ya kupuuza maoni ya wananchi katika maamuzi yanayogusa mustakabali wa taifa. Alisema “Msipuuze maoni ya wananchi hata kidogo chama…
Kama ni ukweli basi UNYAMA SANA.🔥 REPOST 500 #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Polepole yupo Live kupitia Facebook account yake. REPOST 200 #KataaWahuni #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Just a tweet to show respect for Humphrey Polepole 💪
Hii interview ya Father Kitima niliangalia jana ikiwa Live. Nikairudia tena ikiwa Recorded zaidi ya saa moja. Nimeamka nayo leo asubuhi na mapema kuisikiliza kwa mara ya 3 tena zaidi ya saa 1. Bado naona natakiwa kuiangalia tena zaidi na zaidi. Haichoshi kabisa. Asante…
Ukiona mtu amepost hili neno haijalishi mna ugomvi au chuki wewe Repost ...Repost 🤞 Tumeamua njia hi nisahihi sisi kupata madiliko ujumbe ufike Repost 🙌
Kwa niaba ya watu wa BACK BENCHA tunasema watu wa INSTAGRAM kutoka MIKOANI kazi yenu tumeitambua na kuanzia leo mtakuwa watu wa DIZIMU 🤝
OSTADH KAPIGA PANAPOUMA. REPOST ISAMBAE.🔥🔥 #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Mnaosema kwamba wakati wa Magufuli Bishop Gwajima hajawahi kunyanyua mdomo kukemea utekaji nadhani mtakuwa mnajisahaulisha. Gwajima ni moja kati ya watu ambao alitoka hadharani na kukemea tukio la kutekwa Ben Saanane. Hata wakati anapambana na ufedhuli wa Makonda akiwa RC…
Mtumishi wa Mungu amechugua kuzungumza ukweli pekee yake ndani ya Wana CCM wote,Tumpe retweet 500