Black Dady
@BlacDaady
Med💉 | Football | Graphics designer |Crypto
VODACOM 5G ROUTER BURE KABISA POPOTE ULIPO - Gharama ya Kifurushi ni sh 120,000 kwa mwezi - Utapatiwa kifurushi kitakacho kuwezesha ku'download, ku'upload na kupost bila kikomo -Router ina uwezo wa ku'connect vifaa 64 kwa wakati mmoja WhatsApp au piga simu☎️: 0743303484


Kama upo kwenye Mahusiano yenye furaha usivimbe sana hata mimi kuna kipindi nilikuwa naamshwa na "Morning Hubby" sa ivi nimelimwa Block!💔🥲
Ila Mzee Majuto alikuwa fundi sana kwenye kuchekesha. Nimekusogezea baadhi ya vichekesho vyake vlivyobamba kipindi hicho Video Thread
New Dress Available 🔥 Acha na vijora dada Lipia 30,000/= tu iwe yako|mtu wako Size: Free Size Quality Material Original Material For Bossladies Cont: wa.me/255750182434 Popote Ulipo Tunatuma Karibu Sana #Tanzania #SokoLetu #Kenya #CAFCL #fashion #simba #yanga
Mechi ya Liverpool nimecheck marudiano kwa ukaribu kabisa, Florian Wirtz alikuwa na mechi nzuri na influence yake ilikuwa wazi.
Kwa alichokifanya Gyokeres kwenye ulimwengu wa soka last season ni ngumu sana kujaji usajili wake kwa sasa. Gyokeres akifanikiwa kuendana na demands za EPL (pace and Physicality) maybe dream ya kweli ya Arsenal kubeba mataji yenye maana inaweza kutimia.
Duh
Wayne Rooney left Everton, got married, had 3 kids, won 16 trophies, went bald, had a hair transplant, became Man Utd's top goalscorer, returned to Everton, left Everton to go to the MLS, became manager of Derby, got relegated, left to become Birmingham manager, got sacked and…
Real Madrid ni wazuri sana kwenye ku-spot contract contract situations za wachezaji wa team zingine, kwangu mimi ni the best strategy ya kusajili top quality player kwa pesa ya chini. Natamani kuona United tukitumia hii strategy kwa PL proven players only.
Naomba Repost🙏 #VIATU BORA🛍️🛍️ ✅Size 40/41/42/43/44/45 ✅Bei 75,000/= Wa.me/+255623346245 📍Kariakoo
Pendeza Kwenye Harusi au Send-off Yako na @suitmseleleko! 🔥 Je, unajiandaa kwa ajili ya harusi au send-off yako na unataka kung'ara? Usihangaike! @suitmseleleko tumekuletea suti kali zenye vitambaa vya kipekee kutoka Uturuki zitakazokufanya upendeze kupita maelezo! ⬛Bei Zetu:…
𝗠𝗦𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗥𝗘𝗧𝗪𝗘𝗘𝗧 𝗜𝗙𝗜𝗞𝗘 𝗠𝗕𝗔𝗟𝗜 Kama unajijua unasumbuliwa na unateseka na changamoto hizi. 🫧 Usisite kutatua shida zako kwa kutumia dawa bora kutoka kwa @KimaniDawa 🙏
Bro, future wife wako leo ameenda kuliwa, kumfulia na kumpikia boyfriend wake 💔 😂
Ukiona mwanamke anavaa kinyume na maadili basi nyuma yake kuna mwanaume kilaza🤞🏿
Mafanikio hayaji kwa kukaaa bila kuwajibika katika utafutaji pesa Piga kazi,Fanya kazi ukimtanguliza Mungu mbele 😊 Good morning and Happy Sabbath brethrens 🙏
Ikawe siku ya baraka na mafanikio kwenye utafutaji wako pia mungu akufanyie wepesi kwenye mishe mishe zako.