Winga Mpanzu Winga Paccome 😂
@1960Remija
GOD | Faith | Family | Ligi Kuu | Zilipendwa | Mwenyekiti | Yanga | Man United | Real Madrid | Mamelodi | Sebene & Rhumba | Tour Agent | Tweets Are My Opinions.
Kama wewe ni shabiki wa YANGA tafadhali RT halafu usiseme chochote. 🐐 📌
Wachezaji wa Yanga waliosajiliwa na Simba miaka ya karibuni wakavalishwa mpaka jezi za Mnyama lakini wakabaki Yanga kwa mkopo. Remija Aziz Ki D Job Maxi Paccome Mudathir Waliopita Yanga Mayele akiwa Pyramids Feisal akiwa Azam



Tumeanza kufanya review ya Electronic gadgets tulizonazo shop, kwa video zaidi tufollow Instagram:iphonestz Tiktok:iphonestz
Hivi kuna mtu anaejiita shabiki wa Yanga na bado hajalipia TOFALI LA UBINGWA mpaka muda huu? 😳




MAMBO MAKUBWA USIYOYAJUA KUHUSU KOCHA MPYA ROMAIN FALZ | HANS RAPHAEL, A... youtu.be/_5WeFNWloII?si… via @YouTube
Ndio wachambuzi mnaowapenda hao. 😂
Za Ndani kabisa ile Taarifa ya Juma Ayo ni Kweli😀
Mmeshindwa kusajili mchezaji wa $200k sokoni, mkaaminishwa na wachambuzi Paccome atatoka Yanga kwenda Simba na mkaanza kupanga na kikosi kabisa. Winga Mpanzu, winga Paccome. 😂 Muda huu tupo na wakala wa mchezaji wenu kipenzi hapa Salamander. Msimu huu maji mtaita mma. 😂😂

Mchukueni Mutale mpakeni blichi la Paccome atakua MVP 2025/26.
Simba wanafurahisha, napenda kuona wanavyohamishwa na mada za kuwapoza mashabiki kuhusu Zimbwe. Viongozi wametuma wachambuzi kuja na propaganda za kumsajili Paccome. Sisi tutawapa Paccome, Maxi, Mzize & Job na kama Eng Hersi bado yupo Yanga tutalala na kuota njozi za ubingwa. 😂
Simba wanafurahisha, napenda kuona wanavyohamishwa na mada za kuwapoza mashabiki kuhusu Zimbwe. Viongozi wametuma wachambuzi kuja na propaganda za kumsajili Paccome. Sisi tutawapa Paccome, Maxi, Mzize & Job na kama Eng Hersi bado yupo Yanga tutalala na kuota njozi za ubingwa. 😂
Paccomo pekee anaeweza kutoka Yango kwenda Simbo.

Hapa ulikunja 50k yako fresh kabisa ukawatuliza Makolo na jazba ya Tshabalala. 😂😂
TETESI: Klabu ya Simba iko mwishoni kukamilisha kila kitu kwa Pacome Zouzoua na tayari mkataba wa miaka 2 imeandaliwa kwa ajili ya kiungo huyo wa mpira anayekipiga Yanga. Pacome kwa sasa yupo kwao na Mazungumzo inaelezwa kukamilika vimebaki vitu vichache ili asaini kandarasi
Tuliambiwa Simba wapo kwenye hatua za mwisho 70% kumsainisha Paccome mkataba wa miaka 2 wenye thamani ya blion 2. Yanga nao wamempa Paccome mkataba mpya. Kila mtu atachanganyikiwa mwaka huu. 😂
Wakuu habari zenu ebu nipeni mchongo wowote wa halali naishi arusha mjini nina 25 years,nina afya njema,elimu nina vyeti vya form 4,6 na JKT,nina kitambulisho cha kura na nida, sijawahi kukamatwa na polisi wala kesi yoyote.LENGO NI KUISADIA FAMILIA YANGU NA MIMI MWENYEWE 🙏🙏
Mashabiki wa timu za K’koo wangekuwa na utaratibu wa kuzichangia timu zao walau 5k kwa mwezi (mashabiki 1m) pale CAFCL kuna nusu fainali ingepigwa na hawa mapacha hivi karibuni. Bahati mbaya mashabiki wa TZ wengi wa mdomoni na wanaotaka matokeo. Suala la kuchangia klabu ni anasa.
Mwaka 2000 pale kwa Madiba ilipigwa show moja ya kibabe sana na Extra Musica kwenye KORA. Kila Mbongo, Herman Ngassaki & Roga Roga walikichafua sana. Imetimia miaka 25 sasa.
Tuambieni kabisa kama Yanga wamelamba galasa kama kwa Ramovich, kocha hana uzoefu, kocha hajawahi kushinda mataji, kocha hajawahi kufundisha timu kubwa. Jimalizeni mapema wakuu. 😂😂

“Kuna nyakati katika maisha Mungu anakuondolea watu sio kwa sababu uliwakosea au ulimkosea Mungu, ni kwa sababu aliye Mkuu kuliko wewe aliyasikia mazungumzo yao wakati wewe haupo.”
Sasa wakati umefika wa kushika nilicho nacho Kwa wema niende kwa Mungu nitoe zawadi Sasa wakati umefika kwenda mbele za Mungu wangu Aone nilivyoandaa zawadi ya leo Nitamwambia Bwana pokea hiki kidogo nilicho nacho Kwani Mungu wewe wanijua mimi siwezi hata kueleza 🎶 🎵
Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako. Isaya 43:4