principal
@principalkox
pencil artist, go getter, believer ....ntaku portray na portrait... CFC Over land and sea. π @ChelseaFC
Huyu naye ananizungushia haga na nimetoka kunyonga π
Leo sina mengi,ni kutakia tu my love @nancynanah22 a lovely night
Mbona watu huona kiswahili is inferior to those foreign languages??
Sikatai ni baraka na ni mapenzi ya Mungu but nimechoka na hii mvua mimi
normalize kulink up na mamorio wako ukitaka kuishi a happy life...
Kila mtu ameenda home nmebaki solo kwa ploti Lmaoooo
Sisemi mimi ni tanker, but my tolerance for alcohol is very very high π. Apparently, it's encoded in genes as well π
"S3x kills friendship." Bana idgaf, wacha tu hiyo ubeshte iishe coz s3x is all I need.
Masaa ni ya kulalia mpoa kifua, nawaombea pia nyinyiβΊοΈ
Gigs hawapeani according to engagements ndo maana sina, wanapea their darlings
Mungu Sasa bariki Hawa madem petite na unono me penye nimefikia nafeel kama ata naweza pasuka
saii ni 3 days sijachoma ngwai,nimeanza kutetemeka kama alicia kanini akimwaga hata mimi