𝐁𝐚𝐬𝐡𝐢𝐫🍉
@kibangii_
•Mauru Unit•
Mi kijana yangu nikikosa kuitwa discipline cases shule nitajua kuna msee alinisomea katiba
Waburundi wameanza kujaa kenya na wanaharibu economy. Kama for example kwa mjengo normally non skilled workers hupewa 600 ama 700, burundians ata ukiwaitia mjengo na uwalipe 350 hawaezi kataa
Kama sio mat kuhepea jam huko muthaiga ningekufa bila kujua mahali embassy ya brazil iko
Hio luku nimepiga leo hata sitaki kuishia home coz nafeel like I have not been seen by enough people 😂
Kuna Dem mwingine apa neiba yangu kwa ploti amesahau keys zake za keja job sai Ako apa kejani nashidwa atalala wapi nasina kiti
Broh code 101: never send her money yet she can come and pick it from your house 🤝
Sisi fans wa Manchester United kusema kweli hatutaki season ianze August kamwili kalikuwa kameanza kurudi jamani