kijana
@kijanampole222
Sala ya asubuhi ni ushindi wa kwanza dhidi ya shetani
Mwenyezi Mungu akupe nguvu ya kupambana na yale yote ambayo huwezi kumueleza yeyote 🙏🏾🙏🏾
Kucheza PS Na Jobless Kazi Sana,Sijui Kabonyeza Wapi Mashabik Wameingia Uwanjani Wanapiga Wachezaj Wangu 😂
Naomba retweets hapa wakuu 🚨 HABARI NJEMA! 🚨 🌟 AIRTEL 5G ROUTER 🌟 ✅ Kasi Bila Mipaka – Furahia intaneti yenye kasi popote ulipo! ✅ Bando la Mwezi Bila Kikomo – Tumia bila hofu ya kumaliza kifurushi. ✅ Unganisha hadi vifaa 64 kwa familia yako au ofisi kwa ufanisi zaidi.
Alhamdulillahi lladhi ahyana ba’da ma amatana wa ilayhi nnushur."
Siku zote jambo zuri haliwezi kutokea kama mambo hayajaharibika kwasababu..... Kuna wakati mwingine bahati huja ikiwa imefunikwa na ubaya Good Morning Hustlers
Baadhi ya watu wanaongea na wew wakiwa na muda lakini kuna ambao wanatafuta mda ili kuongea na wewe Tofautisha✍
Your Patience Is Your Power, Thank You God I'm In The Wake Up List Again..!!🙏 Good Morning Champs.
Mdau Anauliza..?? Kwa Mtaji Wa Millioni Moja Anaweza Kuanzisha Biashara Gani Nje Ya Kazi Yake Ya Kuajiriwa,Kwa Mikoa Hii Arusha,Mwanza,Mbeya,Dar,Dodoma...?
Ikawe jumatatu bora sana kwako yenye kheri na Baraka tele Good morning Fam 🌅🌅🌅🌅🌅🌅
Naomba Repost🙏 #VIATU BORA🛍️🛍️ ✅Size 40/41/42/43/44 ✅Bei 85,000/= Wa.me/+255623346245 📍Kariakoo
Dada Ficha Kalio Kwani Halivutii Tena Ngoma Ikipigwa Sana Hupasuka Humsikii Wema.
Naomba Repost🙏 #VIATU BORA🛍️🛍️ ✅Size 40/41/42/43/44/45 ✅Bei 75,000/= Wa.me/+255623346245 📍Kariakoo
Mtu mwenye hali ngumu anatumia makasiriko kupunguza maumivu yake!!✍️