Zee la Vyeti (PhD)
@babalao__
𝗭𝗲𝗲 𝗕𝗮𝗯𝗮𝗹𝗮𝗼, 𝗣𝗵𝗗 , Zebedayo ✪Influencer ✪ Content Creator ✪
JE UNAJUA KWA NINI HUFANIKIWI? Una mizigo mingi isiyo ya lazima wala faida ambayo umeibeba:- 1.Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako. 2.Umebeba vinyongo na visasi moyoni vinavyokufanya uwafikirie waliokuumiza zaidi kuliko kufikiria…

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025. #OktobaTunatikiSamia
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025.




Mwisho wa mwezi mambo huwa yanachanganya. kodi inabisha hodi, mtoto hana daftari, na chakula kimepungua. Usiumizwe na stress @softfinancetz wanatoa mkopo wa haraka ndani ya dakika 45 bila usumbufu 📞 0678 000 800 | 0679 000 900 📍 Makumbusho & Tandika #MpangoPesa
Want to win? Start trading. The more you move, the more you earn that’s the NoOnes way. #NoOnesAirdrop #BuiltForNoOnes
ANAANDIKA JOKATE MWEGELO "Nawashukuru sana viongozi wenzangu wa vyama vya ukombozi kwa heshima kubwa ya kunichagua kuwawakilisha Vijana wa Vyama vyote vya Ukombozi Kusini Mwa Afrika kuwasilisha mapendekezo ya VIJANA kwa vyama vyetu hivi na hivyo kunipa fursa ya kuzungumza mbele…
MUNGU atakubariki zaidi, Kilichopatikana 3,806,800 Zinaitajika pesa Million 107,734,920/= sawa na (Dollar elfu 40 za kimarekani) NAWAOMBA/NAKUOMBA WEWE UWE SABABU YA MIMI KUSIMAMA Mpesa +255766180656 Tigo pesa +255718626642 MISHALY .S. SUMARY Bank account CRDB :0152078706601
Mtu wa Kwanza Kuifikisha Medali ya NBC Marathon 2025 Dar es Salaam!!
Ujenzi wa Shule ya Sekondari Tupevilwe wilayani Makete umekuwa mkombozi kwa wanafunzi ambao hapo awali walikuwa wakitembea umbali wa KM 20 kufuata elimu. #OktobaTunatikiSamia
Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili ya CCM Taifa Leo Leo, Kamati ya Usalama na Maadili ya CCM ya Taifa inatarajiwa kuketi kwa ajili ya kupitia na kujadili majina ya wanachama waliotia nia ya kugombea ubunge kupitia chama hicho. Baada ya kikao hicho, Kamati Kuu ya Halmashauri…