ππ΄πΏπππΈβ―
@_itsmalume
ππππ‘πππ‘ πππππ‘ππβοΈ||π πππππ πππππ πππππ’πππππβͺ
SUFURIA NI NZITO MNOO, ANGALIA HUO UPINDO WAKE ULIVYO MNENEπ ZOTE 4 TSH 40,000 KUBWA INABEBA 2KG 0755 693 113 πZIPO DUKANI UBUNGO EXTERNAL, MKOANI NATUMA @Sativa255 @nyuki_malkia
NINAZO HAPA DUKANI TSH 25,000 0755693113 π UBUNGO EXTERNAL MIKOANI TUNATUMA
Kama anajaribu kuzitafuta chudai na huoni kitu sema nikupe code chapuu
Jux alimuacha karen akaenda owa pricy aah kummke uchawi upo πππ


Lipstick walikuwa wanatumia moja ,Ila humu πππ

Amin nakupanga mkal kigogo π«‘π
@_itsmalume amini nawapanga π€£π€£
Kwa vocal Dogo rema anajua kinoma kuliko wakazi amin nawapanga βοΈ ASIEFAA KAFAA ,WASOMI HI!πππ«΅


Ila mpira una hela yaani unapewa gari , ubalozi wa kampuni bado unapelekwa mapumziko Dubenga hapo Mshahara 20+M na umepeta free agent fee ukizingatia umri maji ya jioni afu mtu anatoka kazulamimba anataka uwe mzalendo shubamitiπ
Weekend kama Leo mimi na mke wangu Sabrina pamoja na watoto wetu watatu, Ahmad, Joy na Stephen tumetumia kufurahi na kutembelea mbuga ya Serengeti. Nyie wengine mpo humu mnatukana wanawake shauri yenu.
Nipeni jina zur litakalomfaa mtoto wangu wa kike π€²

Imagine Mbeumo,Amad,Cunha,Bruno,Zirkzee,Mainoo Wanacheza Wote Kwa Pamoja Man United Still Tuna Timu Nzuri Msimu Ujao
Achana na wasimbe ,nan anayajua hapa π₯?? Bonge la dada Vs pipytida


βBaada ya kushuhudia tukio kubwa lilolofanyika na @betpawaTZ jijini Accra imeendelea kuthibitisha kwamba betPawa ina dau dogo zaidi la chini na ushindi wa juu zaidi barani Afrika, ukifika hadi TZS 653 Mil(sawa na $250k) kwa kila raundi ya Aviator" #betPawaAviatorWinners