1984
@_1984OJ
_1984.philosophy.psychology.satire.sarcasm.booklover & seller_
Msichana mnono huwa anakufungulia roho hadi unajiuliza kwani huyu anataka kuniua na cholesterol ya mapenzi
Watu husema "money isn't happiness" ni wenye already wako nazo mingi hawajui umaskini Ni kusema nini
Nowadays I prefer my online friends kushinda my other friends,,those mofos can come for you when you are at your lowest💯
Nowadays hata haunotice wakicheat unashtukia tu umepata kaswende😅
You think I like you? get me drunk and see who I cry for😭😂
Kenya ni nchi ingine bladifakin sana, why are we paying 4× as much for CHAN tickets compared to Tanzania?? Nchi inaongozwa na wezi na walafi, disgusting!!
Madem wengine hukuwa na deficiency ya akili, imagine being loyal to a married man 😂
Kama ako na stretch marks huyo sio lazima ajue kupika chapo.
landlord ameniuliza mbona navaa miwani nikamshow sioni nikilipa rent😂🫢
msichana unataka wanaume wako na pesa unadhani mamako angekua kama wewe angepata bwana?
Huyu ameona size ya ugali nakula akaniuliza kama kesho pia nitakula. Lmao na bado hajaona mengi