𝕸r ᥣᥱᥒᥒᥡ
@Mrlenny_memes
Creamers hukua pure greatness unatoa mrija ikiwa whitish, unangoja ikauke then unaipeel vizuri kama maembe😅
landlord ameniuliza mbona navaa miwani nikamshow sioni nikilipa rent😂🫢
Nikikutana na balloon kwa tl kazi ni kucomment tu +1 nikisonga, madoido niliachia wasee wa primary.
Huwezi kuwa bigwig bila followers mjamaa drop your x handle we follow you ASAP
Nmetoka nje io light imenirudisha kwa nyumba haraka saana. Nkama macho inaeza ngoka, splitting headache
Situations zingine hukuwa tricky sana time umefungua bra ndio anakuhalt "do you really love me" utasema NO aje
Payments before delivery may be nikue najua 5 of your family members😂💀
I'm a bad girl and as the bad girl that ayaam, fuck was I gon' say¡!!
Conversation ya wanaume ukikosa wazi,noma,bana,walai,rada hiyo ni meeting ya wamama 😂
ule mlisema nikae mbali na yeye ako hapa amewasalimia😂😭
Twitter pekee ndo unapata Memelords wakona followers wengi kuliko many kenyan artist out here.
Struggles zingine huwa unapitia mpaka unafeel ni kama unalipia makosa za ancestors wako
Nakula dem yako alafu unaanza kukonda bro mbona unishtue ivo😂😂
Between starting a new relationship and fixing a broken one which one is easier?
Ukiskia mtu anasema deal zake zinaaivana next week .. jua uyo ni caretaker mahali😂