Abdallah Dr
@Dulladisgner
Disgner dulla
Hilo mbona limeshafanyika sana ila ni kwamba bongo upinzan hovyo sana
Kama itabidi kupandikiza watu fanyeni, ila iwe ni mipango ya muda mrefu.
🤣🤣🤣
Wananchi wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma wamepinga kampeni ya 'No Reforms, No Election' wakisema kuwa Oktoba watashiriki uchaguzi na hawatazuia uchaguzi kama ambavyo kauli hiyo inavyohamasisha. Hayo yamejiri wakati wa mkutano wa Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika…
Mtoto amezaliwa juzi leo anatembea ndiomaana halis ya huyu mwamba kujiunga na chelsea

Calling all Chelsea fans. Drop your handles, REPOST and make sure you all follow each other. Turn on 🔔 for regular gains 🔵⚪️
Ile kiume💪🏿
Balozi wa Tanzania nchini Cuba na aliyekuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Humphrey Hesron Polepole ametangaza kujiuzulu Ubalozi leo July 13 2025. Katika barua yake ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan ambayo ameichapisha katika kurasa za mitandao yake ya…
Njia pekee ya kuongoza nchi ni ushindi kwenye uchaguz suokelele na maandamano,kama ccm inawanunua watu ili ishinde na nyie nunueni mshinde kwamaana ndio mbinu pekee ya ushindi mmsitugawe kwa unafs wenu

Wivu utakuua ww
Sema huyu dogo ni mshamba sjawahi ona yaani bora wasukuma kuliko huyu dogo sasa ndo nn hiki
Bange hizo
Chadema tukiingia Ikulu tutavunja ukuta wa Mirerani - Heche mwananchi.co.tz/mw/habari/sias…
Nataman kucheka lakin naogopa🤣
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ametia saini mswada wa sheria unaowataka madereva wote wa magari nchini humo kulipia ushuru wa kusikiliza redio kabla magari yao hayajapewa bima ya magari. Kulingana na sheria hiyo mpya ya ushuru, madereva watatakiwa kulipia kiasi cha Dola…
2007 rais kikwete alikwendakumaliza mgogoro pale kenya,hapo mambo ya wakenya yalimalizwa na watanzania sijui ulikua na umri gan
Mimi binafsi nasimama na mama @SuluhuSamia Nikweli Mambo Ya Tanzania Yatamalizwa na watanzania na sio Wakenya Wakenya Hawawezi Kua Na Uchungu Na Nchi Yetu Kama Mama anavyotupigania
Leo no Sikh ya3 mtu unabando haifunguki,ukitumia vpn uaahidiwa jela ah

Baada ya fainali ndio wapange mambo yao kwasasa wawaache watu waserebuke ingebidi wakatae michezomikubwa isifanyike hapo
#MICHEZO: Shirikisho la mpira wa miguu Zanzibar (ZFF) limepiga marufuku kwa Klabu za mpira wa miguu kwenda Uwanjani na vikundi maalum vya kucheza vya Wanawake wanaocheza ngoma zisizo na maadili pamoja na kuvaa nguo (Vijora) na kuonekana maumbile ya miili yao. ZFF inatoa angalizo…
Achen porojo bwana nyie viongoziwa wapenda sifa
“Watanzania wengi wanatamani kuona Sura ya Rais Samia kwenye Fedha zetu, hii Italeta heshima kubwa kwenye Nchi yetu, kwa sababu tumeona mafanikio makubwa ya Nchi yetu kuongozwa na Rais Mwanamke” Issa Mtemvu - Mbunge wa Kibamba.
Lakin kasema kunamoja hata makundi haitoboi na kwel🤪TULIKWEPO
Alitabiri “ITAFIKA MBALI”. Hakusema habari za UBINGWA.🫵🏾😂 TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Anamatatizo mengi yule
Kigwangala huwa anaonekana timu ikipitia changamoto tu. Tukifanya vizuri yuko kimya. Hata kupongeza anaona tabu.