Mkale-Wa-Mombasa
@IamMkalee
Electrical/Instrumentation & Process Control
Apa sikua najua KC ni nini🥹
An old picture you took that you still love?
Saumu hukuwanga dawa mzee
Hakuna mtu huniboo kama hawa wa kunuka saumu midomo😂
Hiyo wedding ya wepesi you can easily tell vile dem aliambia morio wake anataka harusi, huyo morio alimshow something like "wewe panga kila kitu mimi mniite tu hiyo siku niatokea venue tumalize hii kitu", and he did show up, albeit drunk 😂
Alafu haina audience bwaku
Hao wepesi nao wako mafutani deadly, hio harusi si bob kidogo
Hiyo jab ya ukedi nayo mnafaa mdungwe mapema kabla ifike river road.
Mimi nikona kiulizo, are married people supposed to take the HIV jabs? Nikiambia bibi tudungwe atasema nataka kucheat
That wedding reception ilikua Inakaa vizuri lakini the people who attended were the problem 😂😂.. na Mbona avae hizo chains kama dogi? Who are those boys tho😂😂
On your way to Nakuru past Gil gil, uko kwa delamere kuna houses zinajengwa, izo ndio affordable houses ama ni different investors
Highschool wanapikiwa Githeri na uji. Hii ni mahindi in solid and liquid form 🤣🤣
zile pesa wazazi wetu walitumia kununua mashamba ndio tunatumia kununua nazo simu...