Geeee❤️
@Geeee_123
MOM KEYAAN PROUD TO BE MUSLIM. 💯 YANGA MANCHESTER CITY
Hela Inatafutwa kwa Shida Sana Dada Ukiwa Unaomba Jaribu kua Mstaarabu.
Nipike hata mchemsho wa samaki nikatie Hoho karoti chumvi pilipili Over
Muda Kama huu Pablo Yende hata hajamka Jana Usiku mzima alikua anatufikishia Matukio yote ya Dom🤣🤣 na Marathon zao
Huu usingizi nasikia na Asubuhi Nipande BM wee Au Nikalale stand???
Demu wangu aliniambia kazini kwao wamemteuwa kwenda Dodoma Marathon, nimemwambia na mimi nishafika Dodoma amezima simu tangu Asubuhi. 💔😂🚮
Wakishua ⤵️ Google Pixel 7 Pro Internal 128gb, Ram 12gb Tsh 685,000/= ☎️0788575705 ☎️0672675939 Kariakoo (likoma)
Ukiambiwa uchague kati ya Mbosso na Aslay kila mmoja akiwa kwenye ubora wake unaenda na yupi ?
Hatujasema Hawezi Ila Hafai Hata kusingiziwa Kwamba Mimba ni Yake Yaan hafai hata kuwa baba wa Kambo Ila Watu😂😂😂😂
Siku Utakapojifunza Kutembea Peke Yako....Ndio Siku Utaacha Kurudi Na Kujipendekeza Sana Kwa Watu Waliokuacha...!
Katika Sector hiyo ndio Sikaagi Mbali kabisa 💋 lips
Category : Lips 👄
Uzuri sisi Yanga Hata tukiachana na Mchezaji Mzuri tunaziba pengo Imagine first Eleven Wametoka wawili Mmoja kauzwa Stephan Aziz Mwingine kaondoka kwa kumaliza mkataba Khalid Aucho Ila hatujabomoa Kikosi Mkude chama is not big Deal Tunaleta Mafuriko Nyie Kaeni kwa akili.
Hata Huyu Mmoja Nilie nae Ni Kushukuru Kwa Mollah🙏🙏.
Say Allhumdulliah If you Receive Notifications Of These Calls.