STUNNA
@CavityDamas23
Vienna馃挦馃洭 chrome heart馃挴
Tumelewa na mshikaji pamoja na demu wake Kila gesti tukienda imejaa, msela anataka akalale na yule demu wake 馃槀馃槀 Tumefika kuna gesti tukabahatisha aisee mwanamke ni kiumbe hatari 馃檶馃檶馃毊 Yule dada kamkataa mshikaji anataka tukalale na mm Mpaka leo jamaa aokoti sim yngu 馃槆
Binafsi sioni hata huo umuhimu wa kupush deal la Sesko kutua pale Manchester United maana issue haikuwa upande wa finishing Ila timu lilikuwa bovu tu Rasmus Hojlund ni mtaalamu sana tusubiri timu ijipate tu
Lile TRENI la SPORTYBET ambalo nililipost jana pia kumtolea mfano mwanafamilia alipunguza timu kadhaa akabakiza odds 92 , zikatembea then cashout iliposoma 100k akacashout hilo hapo chini馃憞. Mechi zote zilizobakia zimetick boom. @the_engineer777
Uzuri wa dotto magari hajifichagi anachapa zake kitimoto hazalani bila woga 馃ぃ馃ぃ馃檶馃徔
Kuna Chuma Nimepishana nacho Hapa Barabaran ni Balaa Tumeishia Kuangaliana kwa Macho Mpaka Akaanza Kucheka.
Imeisha iyo kiongoz acha uzito 馃槀
Kuna Chuma Nimepishana nacho Hapa Barabaran ni Balaa Tumeishia Kuangaliana kwa Macho Mpaka Akaanza Kucheka.
Nilikuwa na cheep in kimaandiko kumbe Dini imeanzishwa na shetani Hawatakagi kuwaambia ukweli Ethiopia Bibles馃摉馃懠
N ukweli dawa za maasai zinaongeza makalio ama uyu maasai ananidanganya
Maelekezo rahisi kutoka Newcastle ni kwamba Alexander Isak ndani ya ligi pale anauzwa 拢150m ila nje ya ligi ni 拢100m sasa utachagua wewe
Nisije anguka mbele za watu bure kisa dokta magonjwa wenu hali 馃槀


Sahivi nadisconnect VPN nasahau kuzima Data....Aise watufungulie mtandao basi.馃檶馃挃馃檶馃挃
Leo tuwe seriously..Ni biashara gani unaweza fanya kwa mtaji wa 1M ikakuingizia faida ya 500k au zaidi kwa kila mwezi...??usijibu kwa mashaka馃檹馃檹
Mimi baada ya kuuza miti ya ukoo pale makete siwezi teseka na tuko na miti mingi vile 馃槑
Nakumbuka kuna mwaka nilisepaga home kwa kiburi kwenda kutafuta maisha...Nikaenda kupiga Kibega ya Cement ..oya niseme tu wahuni tunapata pesa kwa tabu.馃槀馃槀馃槀馃檶馃挃
Na leo kidogo tu madogo wachelewe kwenda shule kisa sijawaamusha bhana
Wanawake wa dar ndo walioanzisha kulishana keki kwa mdomo kwa mdomo Ili jiji lina wanawake wa ajabu sana