Maviatu πππ₯ΎποΈπ
@BarakaMaviatu
#Entrepreneur SPECIAL & SECOND HAND/MTUMBA shoes dealer πππ₯ΎποΈπ http://wa.me/255718007463 |Ndugu wa CHAPO, CHAFOSA na MKWAWA WILLY BRIGHT & JOHNIEBEST
Wana CCM mmemfanya nini huyu ndugu?
Young People, WE HAVE TO CONTRIBUTE TO GLOBAL KNOWLEDGE AND LATER USE THAT EXPERIENCE TO BUILD A BETTER AFRICA. To achieve this, For those of you who are not PARROTS π¦/ CHAWA π You have to put yourselves in a conducive environment to be GLOBAL EXPERT. Your African leaders,β¦
PREMIUM SOFA SET 3:2:1:1 π PRICE TSH 2.5m ITS COZINESS IS ANOTHER STORY π€ FULL FIBERS & SPRINGS WHATSAPP: 0786437672 whatsapp PRE-ORDER NOW LOCATION: KEKO CHANG'OMBE
Price: 50,000/=tzs πMakumbusho tupo. βοΈ: 0712098381 #hikasshoes
Idadi ya mitumba tunayoingiza inabidi ifike hatua iwekewe chujio, tunaingiza uchafu mwingi kupita kiasi. Mkataba wa AGOA unaisha mwaka huu natamani serikali isirenew huu mkataba. Tukishindwa kabisaa tuchague aina ya mtumba na ubora unaotakiwa kuingia.
"Huhitaji kiongozi au dini ili kujitambua , kujitambua maana Yake una uwezo wa Kufikiri kwa uhuru na huitaji tena kuongozwa. Watu wanaojitambua hawahitaji Kuambiwa nini cha kuamini kwa sababu hekima na mantiki yao inawapa uwezo wa kutumia akili zao."
#Mtumba Size: UK 43 [ 9 ] - 265MM Price: TZS:75,000 Material: Suede For more info: +255718007463
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 43 [ 9 ] - 265MM
Price: TZS:75,000
Material: Suede
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxPB21W8AAdpt_.jpg)
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 43 [ 9 ] - 265MM
Price: TZS:75,000
Material: Suede
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxPB2yWUAAPEP5.jpg)
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 43 [ 9 ] - 265MM
Price: TZS:75,000
Material: Suede
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxPB21WYAERck1.jpg)
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 43 [ 9 ] - 265MM
Price: TZS:75,000
Material: Suede
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxPCHJWUAATkim.jpg)
#Mtumba Size: UK 41 [ 7 ] - 250MM Price: TZS:120,000 Material: Pure Leather For more info: +255718007463
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 41 [ 7 ] - 250MM
Price: TZS:120,000
Material: Pure Leather
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxHBQEXgAAyyUf.jpg)
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 41 [ 7 ] - 250MM
Price: TZS:120,000
Material: Pure Leather
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxHBQFWQAA7BL2.jpg)
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 41 [ 7 ] - 250MM
Price: TZS:120,000
Material: Pure Leather
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxHBRUWUAANWqo.jpg)
![BarakaMaviatu's tweet image. #Mtumba
Size: UK 41 [ 7 ] - 250MM
Price: TZS:120,000
Material: Pure Leather
For more info: +255718007463](https://pbs.twimg.com/media/GwxHBQJXwAAIHeU.jpg)
Mkuu #TajiriLaKihaya @EsirEid najua utakuwepo Dom, Tunakukalibisha Site kwetu hapa maili mbili Arusha Road jirani Na Chuo cha Mipango Ujipatie Sendo kama hiyo YA kuvalia Kanzu Ijumaa, Kwa tsh25k tu unapata Sendo Of za Ngozi, Tunatengeneza hapohapo, @BarakaMaviatu @chapo255
Uongozi kwa Mwanamke hauhitaji neema maalum, unahitaji nafasi, usawa na imani kutoka kwa jamii. Wasibaki kuwa watazamaji wa mabadiliko, bali sehemu ya kuyasababisha. #MwanamkeNiKiongozi @TAMWA_Zanzibar
Tonge nyama imetoka usiku mrefu leo kila mitaa nayopita ngoma inaita! Hawa boda wako mbele ya muda sana kwenye taste ya muziki mzuri!
π₯ MRADI MPYA KIGAMBONI KIJAKA! Kwa Milioni 4.9M tu, unapata kiwanja cha sqm 700 chenye Hati miliki halali kabisa! π Ziara ya site ni kila Jumamosi β na usafiri ni bure kabisa! π Wasiliana nasi sasa: π± +255 672 826 826 π§ [emailΒ protected]
Bila mabadiliko kwenye sheria zinazowalinda watoto dhidi ya ukatili wa kingono na ndoa za utotoni, SRHR ni ndoto. β’Tunataka sheria zinazotoa ulinzi, si urasimu. β’Tunataka utekelezaji, si taarifa. #AfyaYetuHakiYetu @TAMWA_Zanzibar
Wanawake wakiongea kuhusu afya ya uzazi si aibu ni haki ya msingi: πΉ Wana haki ya kuamua lini wapate watoto. πΉ Wana haki ya kupata huduma salama. πΉ Wana haki ya kusikilizwa. #AfyaYetuHakiYetu @TAMWA_Zanzibar
Tanzania ni nchi ya 4 duniani kwa wagonjwa wa selimundu, baada ya Nigeria, India na DRC. Zaidi ya watoto 14,000 huzaliwa kila mwaka na ugonjwa huu. 50% hufariki kabla ya miaka 5. Hatuna muda wa kupoteza. #RaiaMakini @policy_F @InstituteWajibu
#Mtumba CONTACTS for pickupπ΅π¦ and deliveryπ΅π¦: +255718007463 WhatsAppπ,CallsβοΈ, TxTβοΈ ππ¦#MIKOANITUNATUMA #return 2 days after #delivery




#Mtumba CONTACTS: Wa.me/255718007463 WhatsAppπ Signal, Telegram π§,CallsβοΈ, TxTβοΈ #tunafanyadelivery π΅π¦ #mikoanitunatuma ππ¦ @rollymsouth @MiriamMkanaka @Wilbright_jr




New Balance π Bei: 85,000/= badala ya 95,000/= Size: 40-44 π: 0693688961 WhatsApp: 0743931620 DM @Dream_online_Tz
Wakuu wananitishia DM nisipo Post watafanya msimu ujao uwe wa shida, tuwa Support ka Space kao ππΏni leo saa mbili usikose.
TRA wangejitahidi kuchukua hela kwa kampuni za nje zinazofanya kazi Tanzania na zinapokea malipo badala yake wanawaogopa wanashusha mzigo kwa Mtanzania. Meta wanachukua hela ila VAT anawalipia mtanzania. π