asmer de unique
@unique_asmer
proud 2b muslim🧕🏼... beuty is jst a word bt with brain🧠 cm a package👜Quran (8:30) ...Allhmdullh🙏....7th April rspct 2 ma moom😘katoto ka baba🥰
Hongera kwako ww mwanmke unayejifuta mwenyew machozi😭 yako kwa siri😞 Na unahakikisha unaonesha tabasamu😊 mbele za watu WEWE NI MWANAMKE IMARA...💪🏻

Mme wang atafaid kwel… Hakuna wa kunioa humu , mimi love language yang ni jiko jaman..🤭🤭🤭


Yaan mkewe anampa hela , kwangu akija ananipa maelezo.. Jaman sitaki siasa kweny mwili wang , kale unapopelekaga unga…..😏😏
Mwisho Wa Siku Uongozi Wa Simba Watatusajilia Watu Kama "Sawadogo" Tutaonana Wabaya.
Amka shtuka kijana…. Sio wote wapo hvo utalua ww na matatizo yako
Mahusiano sio kitu cha kuchukulia poa , umuhimu wake utakuja kuuona ukiwa huwezi kufanya kitu either kwa maradhi au ajali,uchumi wako kuyumba au kua mbaya kabisa.Partner wako ndo mtu namba moja unaetakiwa kumheshimu na kumpenda,He/she will be there for you ukiwa kwenye majanga✍️
Mke yupo theater anajifungua mtoto wa 3, Mume yupo kweny Joho anaoa mke wa pili… Marriage isnt for the weak…😂🤣🤣😂
Mimi ukinicheat sikuachi, ila ntakaa na wewe ili nikufundiashe jinsi ya kucheat bila kukamatwa….🤭🤭🤭
Mwambie ss nikuletee nini , utasikia chips kuku, pitsaa ya ngombe Na pant yake inakaa hivi…😂😂🤣🤣

Huyu namuliza mbona hnufatilii kama zamani ..?! Ananiambia” nimekufatilia , nimekutongozaa wew mpaka umekubali, sas ni zamu yako kunifatilia kama Mimi nnavyochase money..! Woiii , mii hili penz siliwezi😭😭😭
Nyie watu wanaloga jaman, wanaume ni wachawi jamani, mi nilijuaga wanawake ndo wanaongoza kuroga wapenzi wao..!? Anashindwa kweny mapenzi, anaroga usifanikiwe, unajijua ila jua, shirk ni mbaya na itakutafuna.. Mwanaume mzima unafunga safar kwend kwa mganga…. Kmmko😏
Namwambia huyu basi tuchachue kisha tuendelee na urafiki tu hataki….😒😒😒
Nikupe maana..!? Na faida
Shanga nyeusi, nyeupe, gold na nyinginezo zina kazi gani??? Na jee ukivaa zinafaida gani na usipovaa zina hasara gani??
YAn hili barid nikikamata mtoto wa mtu , haendi hata kibaruani, ww ngoja mtu aingie kwwny 18 zangu…😒😒😒
Nani atawaeleza wazazi wetu kuwa ndug zao sio ndug zetu…🫣🫣
Usiwe sababu ya watu kuficha vyakula vyao , pale tu wanapokuona wewe…..😒😒