Chief Nothing Officer.
@south_kuzimu
Kipindi nipo University nilikuwa nakwepa sana presentation.
Kifoto.
Utapata kuna mtu mahali hajui Ngoma zangu hata mbili
Repost, follow back & let’s level up! 🔝 @Kiarii1936 @arounyoung @notscarediam @TwitPolice15 @adiokorie @kibithia @edemhakelly2014 @Kwigabyanze @am_the_viper @Ashirafu03 @ASuruni @ChiefRoman78193 @Alex06Richard @humphreyPallan5 @ronnieronald023 @unjussss…
🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Ratiba yangu ya TL leo hii tar 27 asubuhi imetoka; -kuretweet Gm tweet zote -niende kwa sativa nipitie tweets zake -ni retweet mikeka ya mabro kina taivina na prolific -ni retweet biashara za watu na matangazo yote -nika engage na wakali
Max Nzengeli.
Na mimi siwezi pitwa na challenge ya nickminaji, Kwa namna yoyote Ile😹 Unanipa max ngapi😝
Inashangaza watu wa kuwepo Mirembe, bado wanavinjari Twitter.
Yaan haya maneno sijawahi kuambiwa kabisa maishani mwangu,ahsante mpenzi wangu😅.
Hujambo?.
How silly of me to forget that I’m God’s princess and that I have always been given more than I ever asked for🥰
Nataka bando Boss Lady. GB20 za Vodacom.
Biashara zangu ni zile zile ......💫
Kuna mchizi humu anabully sana mademu, ila ukibully manzi flani anakuja hadi inbox anasema unamharibia😂😂.
Shababi Zirkzee😂😂😂.
Mbona Sabrina ni mdada mzuri tu, ila watu wa humu kwa standards 🙌
Huu ni mtazamo wa watu walioanguka juu ya mti.
Umedate na Mimi Miaka mitatu au hata mitano ,then unatokomea unaenda kuoa mwanamke mwingine 😂yooh hakuna rangi utaacha kuona
Picha zako za kuonyesha maungo ndio hupata likes na comment zaidi🤝.
Malkia wa Nguvu Arusha❤️
Uandishi wa Profesor Jay, hata mtoto wa chekechea anaelewa.