OG OUTFITS❤️💃
@MSAFWA_OG
God Is Good🤎🙏🏾||Entrepreneur|| Business Account||
Hizo jeans chambuu Hazipauki wala kuchuja🔥📌 Zipo dukan Size 32–40 30000 fixed price Loc; Ubungo external mataa Mikoani tunatuma Wats/ dm 0763509705
Narudia mara ya mwisho hizi pensi zimebaki size Xl na Xxl Yaani size 36,37,38,40 30000 tu Njooni mnunue nisije nikarudi Chunya kusegesa mawe😭
Tuko stone town hapa kwa tour zaid 🙌Hawa watoto wanataka nikawafanyie shopping ya nguo dar week ijayo @MSAFWA_OG Dukan kwako jeans za watoto kama zipo ???
Mwagona dogo
Nimepata ila kijivu kama hapo chini nimekosa na ya Cassian nimekosa🥹 Ila hii nyeusi iko unyama sana anaetaka nimuwingie kutoka kariakoo aje Dm na elfu 60😂🤌
Nimepata ila kijivu kama hapo chini nimekosa na ya Cassian nimekosa🥹 Ila hii nyeusi iko unyama sana anaetaka nimuwingie kutoka kariakoo aje Dm na elfu 60😂🤌
Nauliza tena nani anauza hizi viatu ziwe kama hivo ya mtoto ikiwa grey nayo itapendeza😊
Mlivyokuwa mnaambiwa #NorefomsNoelection ni madai ya wananchi, nyie mkabaki kusema oktoba tunatiki. Kuleni chuma hiki. Ila @MSAFWA_OG, hayupo hili kundi, yeye ni muumini wa nrne. Kila mtu atafikiwa.
Kwa kutumia picha elezea wiki yako ilikuwaje??
Kwa kutumia picha elezea wiki yako ilikuwaje??
Hizo marathon dhamira yake huwa ni nini Yaani zina faida gani nielewesheni kiupole😂🤔
Inafaa waandaaji wawe wanagawa zana wakishamaliza kukimbia na wapewe elimu la sivyo kitawalamba nje kumeoza mnoo💔
Maambukizi ya virusi vya UKIMWI yataendelea kupanda kila mwaka Tanzania kwasababu ya hizi MARATHON.
Mbona huyu haijambadilisha sura bado mrembo vile vile au ni makeup🙄🤔

Kuna challenge ya kushow lipsi tena🙄sisi wenye lipsi mbayambaya hata wanja hauchoreki hio haituhusu😂🫵
😂😂😂raha moja ya X ni imejaa washamba wanaojiamini, na hapo ndo inakua rahisi kujua nani katoka facebook...nani born town
Hio ni rang imechorwa
Imagine mtu anakuja dukan anataka jeans kama hio ya Dogo Rema🥹🙄🙄

Ebu tukapambane tupate pesa ya kula na nauli ya kwenda kupambana kesho tena😂😂

Kunawahi kukucha aisee ebu niongeze saa nikute daladala ziko free sio kugombaniana🙄😂😂 waajiriwa wahini mkagombanie na wanafunzi😒

Hizo jeans chambuu Hazipauki wala kuchuja🔥📌 Zipo dukan Size 32–40 30000 fixed price Loc; Ubungo external mataa Mikoani tunatuma Wats/ dm 0763509705
Hizi pensi zipo dukani mnataka adi nivae ama🥹🙄 27000 Ina rangi nyeusi na kijani Size zakuokotaokota📌
Baadhi ya tishet zilizopo dukani🔥🔥 20000 Location ubungo external mikoani natuma😊🤝
Narudia mara ya mwisho hizi pensi zimebaki size Xl na Xxl Yaani size 36,37,38,40 30000 tu Njooni mnunue nisije nikarudi Chunya kusegesa mawe😭