๐๐ซ ๏ฃฟ
@imaaJr_
๐๐ง๐๐ฅ๐ฎ๐๐ง๐๐๐ซ ๐๐ซ
Rasmi imeanza kazi leo kama huna blue tick huwez ku comment chochote elon Daaโฆ!!

TAL: "MWAKA HUU TUNAKWENDA KUKINUKISHA VIBAYA SANA." HATIMAYE yupo nyuma ya ngome peke yake Chama kipo mikononi mwa Maria Sarungi ๐๐
Watu hawana muda nae tena
TAL: "MWAKA HUU TUNAKWENDA KUKINUKISHA VIBAYA SANA." HATIMAYE yupo nyuma ya ngome peke yake Chama kipo mikononi mwa Maria Sarungi ๐๐
Oktoba tiki kwa Mama
SAMIA 29,OKTOBA TUNATIKI ๐น๐ฟ Timu ya maendeleo ina jezi moja, nahodha mmoja na malengo makubwa kwa Tanzania. Tarehe 29 Oktoba tunaitikia kwa vitendo,kura yetu ni kwa kazi na utu. #OktobaTunatikiSamia #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Taifa lenye kiongozi mwenye utulivu kwenye maamuzi na mwenye kumuamini, kumuomba na kumtumaini Mwenyezi Mungu ni Taifa lililo salama sana. Mama Samia ni zawadi kutoka kwa Mungu.

Ufipa mtusamehe kwakweli hatutaki mazoea mpaka jambo letu la OKTOBA lipite.
.Leo Rais Aliyeipa Thamani VETA. .Ujenzi Wa shule za Wasichana kila mkoa .Ujenzi wa Barabara . .Ujenzi wa Miradi ya Maji Mikubwa. .Nishati Safi ya kupikia . Lazima nimpe Pongezi kwa kuchagua oktoba Anastaili zaidi ya kura Mungu Azidi kututunzia huyu. #OktobaTunatikiSamia
Washapotea
2030 Chadema wanatakiwa kufanyaje angalau wapate uungwaji mkono kidogo! ๐ค๐ค Nasoma comments ๐๐ฟ
2030 Chadema wanatakiwa kufanyaje angalau wapate uungwaji mkono kidogo! ๐ค๐ค Nasoma comments ๐๐ฟ
Sisi Oktoba tunatiki
โNo Brain No Visionโ ilizaliwa kwenye kichwa cha Bambucha @MariaSTsehai ikalelewa kwa uongo wa Mandela wa Ikungi, na sasa imezikwa rasmi na MILIONI 347.6 walioko tayari KUTIKI Oktoba! Watanzania hawadanganywi na mihemko ya keyboard, wanaishi na kuona maendeleo ya kweli!
โNo Brain No Visionโ ilizaliwa kwenye kichwa cha Bambucha @MariaSTsehai ikalelewa kwa uongo wa Mandela wa Ikungi, na sasa imezikwa rasmi na MILIONI 347.6 walioko tayari KUTIKI Oktoba! Watanzania hawadanganywi na mihemko ya keyboard, wanaishi na kuona maendeleo ya kweli!
๐๐๐
Baada ufipa kuleta ajenda ya no reform no eleksheni Wananchi:๐๐๐๐
Watanzania Milioni 37+ wamejiandikisha kupiga kura Oktoba 29 Ufipa nyie tumewapuuza ๐
Baada ufipa kuleta ajenda ya no reform no eleksheni Wananchi:๐๐๐๐
Utafiti wangu unasema ufipa walihisi kuwa na wananchi wanawaelewa Uongo wao. Wakawaaminksha kuwa wakiisema agenda yao Kwa kiingereza wananchi watawapumbaza Mungu ni mwema ikaja Kazi Na Utu Tunasonga Mbele Wananchi wakaipokea na Mazuri kwenye jamii yanaonekana Wakaanza etโฆ
TapEli huyo
Baada ya kwenda ngome Lissu akamuachia Bambucha chama Kiufupi Maria Ndio fundi mitambo wa ufipa dah ๐
Baada ya kwenda ngome Lissu akamuachia Bambucha chama Kiufupi Maria Ndio fundi mitambo wa ufipa dah ๐