em
@em20192020
From Rev. MLK, Jr.: A timeless call to crawl, walk, or run as we fight to reclaim our land. Justice will rise and reign.
Kama kweli mnapendwa kwanini hamtaki kufanya Reforms? Kama kweli mmejenga Miradi mikubwa nchi nzima kwanini hamtaki Reforms? Tumeona baiskeli, pikipiki, magari vyenye majina ya mtu mmoja. Hivi vitu vinatolewa nchi nzima — mfadhili ni nani? Na kwanini vitolewe kipindi hiki? Kama…
SUFURIA NI NZITO MNOO, ANGALIA HUO UPINDO WAKE ULIVYO MNENE📌 ZOTE 4 TSH 40,000 KUBWA INABEBA 2KG 0755 693 113 📍ZIPO DUKANI UBUNGO EXTERNAL, MKOANI NATUMA @Sativa255 @nyuki_malkia
NINAZO HAPA DUKANI TSH 25,000 0755693113 📍 UBUNGO EXTERNAL MIKOANI TUNATUMA
Hii chuki inayojengwa kwa Wakenya, kwa namna Watanzania wengi wanavyofanya kazi Kenya, hasa biashara ndogo ndogo inaweza kutengeneza kitu kibaya sana. Tayari minong’ono imeanza, ile ukifika ukitoa passport wanavyokuwaga wakarimu wanaanza kubadilika.
🚨 VIRAL ALERT 🚨 ‼️Tanzania's Election Commissioner Caught in Massive Lie: 37M Voter Claim for 2025 Defies Population Math‼️ Tanzania's Electoral Commission claims 37M registered voters for 2025, up 29.55% from 29.7M in 2020. But with a population of 70.5M, 44.8% under 15, and…
Kuwepo na fair competition kwenye uchaguzi mkuu- EDO KUMWEMBE!
youtu.be/UUyabqMeSno?si… Katibu Mkuu wa Baraza la vijana BAVICHA taifa @duahamud akizungumza machache baada ya Dua ya kumuombea mwenyekiti wetu Mh Lissu pamoja na chama.
Finally Mwabili has been found dumped at Diani, Thanks to every fighter who made their voice count. Abductions must come to an end .we must bring down the murderous regimes to stop abducting and torturing young people. END ABDUCTIONS.
Activist Mwabili Mwagodi found dumped in Kinondo area, Diani, taken to a hospital in Mombasa for a check-up, family confirms; his valuables stolen.
Miili ya wanafunzi 6 yaagwa Chunya. Simanzi kuu! Hawakupaswa kufanya mazoezi barabarani. Walistahili viwanja salama, si vifo vya ghafla. Miundombinu duni imeua. Serikali ifahamu ukosefu wa kipaumbele kwa usalama wa watoto ni jinai ya kitaifa. Na sasa tutaambiwa “ Bwana alitoa,…
Nilishasema hapa kuwa TANZANIA ya miaka 5-10 ijayo itakuwa ya mshike msike sana. Nilisema moja ya sababu kubwa ni ongezeko la WASOMI mtaani. Leo kenya mnaona Gen Z kila siku wanaandamana kwasababu lile ni taifa la WASOMI. Serikali hii ya MATAPELI NA MAUWAJI hayawazi kitu kuhusu…
Kanisa katoliki limewapa UKUMBI waumini wa Askofu Gwajima. Sasa Yule mcheza PORN mkuu wa wilaya ya ubungo aje kanisa katoliki kuleta kichaa chake. 🫵🤣 Asante sana kanisa KATOLIKI hakika hili ni kanisa la Mungu. Naomba wakatoliki na waumini wa Gwajima tufurahie huu ushindi hapo…
POLISI huko NKASI KASKAZINI WAMEUWA W/NCHI. Nchi inanuka DAMU kila kona. Polisi wamekuwa miungu watu ambao wanaamua nani aishi nani afe. Yote hii ni kupambana na #NoReformsNoElection Hakika hii damu mnayomwaga mtalipa. #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
POLICE WASITUPE WATU KAMA WAMEWAUA TAARIFA KUTOKA RUKWA JIMBO LA NKASI KASKAZINI "KWA NYONGEZA NI KWAMBA, Nimepewa taarifa zaidi sasa hivi kwamba, Baadhi ya waliokamatwa Wamepigwa saana na Kuzimia na wengine wawili inasemekana wamekufa na Polisi wanafanya mpango wa kwenda…
Haya mauwaji waliyofanya JESHI LA POLISI leo huko NKASI kwa Mbunge wa Chadema Aida Kenani ni zaidi ya UKATILI. Nchi inanuka DAMU. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Limama lenu Halipendwi DUNIANI, PEPONI & KUZIMU. Asante Grok.🙏🏿 TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Kinachoumiza zaidi ni kwamba tunaenda kutumia zaidi ya trillion moja kugharamia huu upumbavu wakati mpaka leo watu wetu wamestack kwenye tope la umaskini uliokithiri. Ningemuona “benevolent dictator” wetu mtu wa maana kama angalau angejali hili😡.