Kip_Too🇯🇲💙
@ant1_bruno2
@_TesToo__🫶🏾💙
Friends and frauds fikeni YouTube mfanye kweli Naomba msubscribe tu youtube.com/@ivyjovennnah_…
Taxin nikonayo inweza uwa mwewe kumi once
Taxin ya Monday iko namna hiii Fellow Captains kanazoza ukiwa pande gani?
Kwa mathe ati ugali sukuma ni 50 na piriton ni 5 bob na niko na 7bob kwa mpesa nimejua kitu ya kufanya
I wonder how people concentrate on negativity,idc if you hate me.
Nikiwa mtoto wengine wakinyolewa kinyozi shosh alikuwa ananinyoa na wembe
Hizo wild beest ziko masai mara zinajuanga aje time ya kuenda Tanzania imefika?
He called us terrorists live on TV, ordered officers to shoot us in the leg, and now he is causing natural phenomena! Eloi Mungu wangu, huyu ni nani uliweka State House atutese?? 😭💔
Huko kwenu stima pia zimepotea ama ni mimi sijalipa tokens
Waah kesho bro mdogo afike mapema nimkope pocket money buana,,nimesota kaa DCI Juja😂😭