Presenter Noah
@PresenterNoah
Futebol | Media Personality | Sales & Marketing | Influencer
Mabingwa wa Dunia ndio tunaamka sasa,, wanangu wa chelsea hebu weka picha yako kali ya jana hapa💙🔥

Jezi za mabingwa wa dunia kwa @MissChelsea1221 Sabuni nzuri za kuogea @leosoap || @amusmartz Dagaa na samaki kwa @amprincess9 Pazia nzito za kushona @salhynaphy1 Kwa bidhaa zaidi, tufollow @sokoletutz Follow the SOKO LETU channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029Vb…
Ni Leooooooo… Mabingwa Wa Dunia Tunaongeaaaa.💙💪💙 @MissChelsea1221 /@FKihamu /@PresenterNoah #Ktbffh #SiYakukosaaa
Ukiachana na Space yetu leo wana chelsea, kuanzia next week timu inaanza kurejea cobham kwa makundi kwajili ya kuanza tizi rasmi. Chelsea is Back..

Wakuu wananitishia DM nisipo Post watafanya msimu ujao uwe wa shida, tuwa Support ka Space kao 👇🏿ni leo saa mbili usikose.
Limited Time Offer 30% OFF! Be part of history at the Africa Bitcoin Conference: Diaspora Edition this August in Boston, USA! Join visionaries, innovators, and changemakers from across Africa and the diaspora as we connect, collaborate, and shape the future with Bitcoin and…
💪🏾💪🏾💪🏾 That’s 25 more youth up-skilled. This is how WE skill Tanzania.
On the final day in Mwanza, participants delivered impressive group presentations—confidently pitching their digital solutions with clarity and purpose. This session was more than a showcase; it was a celebration of growth in communication, innovation, and collaboration. Special…
Si ndio leo eeh? @MissChelsea1221 @FKihamu @PKishamba @PresenterNoah #UkikosaUtaliaSana
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei jezi ya sasa 27,000/= 👉Bei jezi za zamani(Vintage) 35,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Vijana tukiamka, jamii inabadilika! Ushiriki wetu kwenye mambo ya kijamii ni nafasi ya kujifunza, kuongoza, na kuleta mabadiliko ya kweli. Na wewe je? Unaona faida gani nyingine za vijana kushiriki kwenye masuala ya kijamii? Drop idea yako kwenye comment. #SautiZao…
Sajilini weeh ila ukweli ni kwamba mchezaji mzuri na fundi haitaji sijui kuzoea mazingira, mara kujifunza lugha, ooh hakuna kemistri au muunganiko mara katoka nchi nyingine Chezaji fundi la boli yeye anahitaji mpira tu

Kesho saa mbili kamili usiku, Mabingwa wa Dunia tutaongea.

#ChapaRepost Keshoooooooo tuna #BreakinNews nyingi sanaa kama mchanga Tukutane sa mbili hapa hapa X Space kwa @MissChelsea1221 @FKihamu @PKishamba @PresenterNoah 👉Wana #Chelsea na msio Chelsea tunaomba mtusaidie kupost kwa kurasa zenu,Kila mmoja na asikie habar ya kusisimua…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila, amesema upungufu na kutokuboreshwa kwa Mabasi ya Mwendokasi ni vitendo vya kuwahujumu Wananchi wanaotumia usafiri huo ni hujuma dhidi ya juhudi za serikali hususan katika kuleta maendeleo na kuwahudumia Wananchi. Akiwa Kituoni…
Session yetu ya asubuhi na ndugu yangu Sure Boy mchangani ilikua poa, good to see brother Kigi Makasi 💪🏽
Eyewear from Shades of Dar @BLIZZSS Shoes by @iamthatfemale courtesy of @GraceNguo Red Thursday it is. 😍
🎶 If you are having girl Problem I feel bad for you son 🎶 🎶 I have 99 problems And a bitch ain’t one 🎶