NO REFORMS NO ELECTION
@NoReformsNoElec
NO reforms No election
Hello @Support ,@X, the @ChademaTz verified account has been accessed by individuals who are not the rightful owners. We kindly request that you suspend or restrict the account immediately to prevent further unauthorized use. Thank you for your urgent attention.
Kama bado unapokaa ni ghetto Basi huna cha kuwaambia watu kuhusu hela!!
Kama geto lako taa iko juu ya paa katikati aisee tafuta sana hela
Mshua ake yule chalii wa Nala
Kanisa limeamua kuungana kwenye hili la ASKOFU GWAJIMA. Mwenyekiti wa umoja wa maaskofu wa makanisa ya KIPENTEKOSTE (CPCT) TANZANIA ASKOFU DR VERNON FERNANDEZ ametoa WEEK MBILI makanisa yafunguliwe. Huyo Mcheza PONO WA UBUNGO si anajifanya anaweza kushindana na kanisa. Sasa…
Fantastic captain
Then Bruno Fernandes makes it 2:0 with a spectacular goal from outside the box How good is this guy?
Amorim is cooking 🍳
A brilliant pass from Ugarte found Amad Diallo, who slotted it in but the goal was ruled out for offside.
After a brilliant cross from Bruno Fernandes, Heaven was fouled in the box. Bruno stepped up and calmly converted the penalty to make it 1–0
Hojlund showed unbelievable speed to chase down the ball and smash it against the post all within the first 50 seconds! x.com/mutvclips/stat…
Haya mauwaji waliyofanya JESHI LA POLISI leo huko NKASI kwa Mbunge wa Chadema Aida Kenani ni zaidi ya UKATILI. Nchi inanuka DAMU. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
WATU WAMEKAMATWA NA KUPIGWA VIBAYA SANA *TAARIFA KWA UMMA* SERIKALI YA CCM YATUMIA POLISI KUVAMIA MAKAZI YA MHE. MBUNGE AIDA JOSEPH KENANI NA KUWAPIGA NA KUWAUMIZA VIBAYA VIONGOZI NA WANACHAMA ANAANDIKA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA RUKWA *ALFREDY SOTOKA* Mapema Mchana wa…
🚨 Just in: JS Kabylie have officially invited Simba SC for a friendly match in Algeria on August 18. 🇩🇿🤝🇹🇿 The Algerian giants are looking to establish a partnership agreement with Simba — focused on idea exchange, regular friendlies, and deeper football cooperation. Big…
Kanisa katoliki limewapa UKUMBI waumini wa Askofu Gwajima. Sasa Yule mcheza PORN mkuu wa wilaya ya ubungo aje kanisa katoliki kuleta kichaa chake. 🫵🤣 Asante sana kanisa KATOLIKI hakika hili ni kanisa la Mungu. Naomba wakatoliki na waumini wa Gwajima tufurahie huu ushindi hapo…
Ni wajibu wa kila mpenda haki kusambaza ujumbe huu kwa wingi.. Muhimu zaidi tusiache kutia saini hiyo petition! Wingi wa saini ndio ufanisi wa petition yenyewe!! #NoReformsNoElection
Petition · End Electoral Irregularities and Strengthen Democracy in Tanzania - Tanzania · Change.org change.org/p/end-electora…
😁😁 Tumekubali Tume Huru ya Taifa ya Uchafuizi ✅ Link: inec.go.tz/news/tume-huru… 🤣🤣 Mungu huyu! #NoReformsNoElection
Moja ya reforms tunazotaka zifanyike kabla ya uchaguzi ni pamoja na daftari sahihi la wapigakura.. Sio hii orodha yenye wanafunzi, maaskari na wafungwa
Soma hizo takwimu alafu linganisha na takwimu za tume za millioni 37.6 uchaguzi umeishaporwa kabla hata ya siku ya kupiga kura. Hii tume ya mama imepanga kumpa kura ambazo hazijawahi kuwepo. Uongo, uhuni Watanzania tusiruhusu uhuni huu kutokea baadae tunalalamika.…
🚨🇹🇿 𝐅𝐄𝐈𝐒𝐀𝐋 𝐒𝐀𝐋𝐔𝐌 𝐒𝐀𝐘𝐒 𝐘𝐄𝐒 𝐓𝐎 𝐒𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐒𝐂! The iconic number 6️⃣ has agreed to a two-year deal with Simba SC, can reveal. ✍️ Fei Toto has informed Azam he won’t be renewing — his decision is final. He’s eager to join Fadlu Davids’ project and compete in…
Based on 2025 estimates from multiple sources, Fabrizio Romano is the highest earner on X via ad revenue sharing, with up to $500K monthly from high-engagement football transfer posts. MrBeast follows closely at $200K-$300K/month. Figures vary as X doesn't disclose officially.