Levels 🌟
@MomonationLab
🎯👕👖 @Yangasc1935
Aiseee nimekutana na hizo clip kipindi ya vita kali baina ya hao jamaa hapo chini Kila siku ilikuwa ni updates mpya mwendo ulikuwa wa kufukua makaburi tuu Nimekusogezea mkanda mzima Video Thread
Juzi nilikutana na hizo clip za JK kipindi yupo kwenye ulingo wa siasa,He is very humble Nimekusogezea mkanda wa clip zake zinazotrend Video Thread
Aisee nimekutana na hizo video za Mo Dewji ile kipindi alitekwa na wasiojulikana,Kama taifa tumepitia mengi sana Nimekusogezea mkanda mzima na matukio muhimu Video Thread
Ila kile kipindi cha Uchaguzi wa ndani CDM tuliona rangi za watu wengi sana,kulikuwa na hiyo Team FAM ukisikiliza hoja zao utacheka mbaya Nimekusogezea mkanda mzima Video Thread
If she ever told you that 'he's just a friend'....He already hit🍑
Mwanamke ambae haumpi pesa na unaona bado anashine na anasisitiza anakupenda hivyo2 ulivyo tambua ana Boyfriend wake mwingine anakusaidia.
Aisee nimekutana na clip jamaa alikuwa na kipaji sana,Ukiangalia utacheka Nimekusogezea baadhi ya video Video Thread
Kuna hii combo ya Mzee Majuto chili na Ringo ukiangalia utacheka mno Nimekusogezea baadhi ya clip zao Video Thread
Mwanamke wako anajua saizi ukimwacha tu atadeti na nani..Stay positive🚮
Ukiona kiatu👟 chako kimeanza kukupwaya tambua kuna mtu huwa anakivaa ukitoa pyeee.
Jana niliona mahojiano ya Roma baada ya kutekwa na wasiojulikana alieleza mkasa mzima na yaliyomkuta Inaumiza mno nimekusogezea mkanda mzima Video Thread
Status zake usizipuuze hata kidgo huyo ndio yeye na hizo ndio tabia zake Badae usije kusema haukuambiwa kwenye hayo matani yake kuna uhalisia wake pia.
List Ya Picha Bora Za Memes Leo Alhamisi 😅 Nb: Fungua kwenye comment comment uvunje Mbavu 😂👇 Like and repost 🙏
Tujikumbushe alichowahi kusema Hayati John Pombe Magufuli. Kwa Jeshi la Polisi Video kwa Comments 👇
Ila Mwaisa anakipaji mno,Kama ulikuwa na siku mbaya leo nimekusogezea baadhi ya video zake uvunje mbavu kidogo Video Thread
Ila Idi Amin nimkorofi sana nimekutana na hivo vimbwanga vyake akimchokoza JK kabla ya Kambarage kuamua kusafisha kuanzia Mutukula ,Mbarara,,Kampala mpaka Jinja Nimekuosogezea mkanda mzima na mtukio muhimu Video Thread