MASTAA
@Mastaa01
This is official account of MASTAA.
Siku zote wapinzani hujifanya wako busy kususia, kumbe ni hofu ya kushindwa. 😅 Tume: Milioni 37+ wapo tayari. Haya sasa, mje na ile hoja yenu ya ‘tume haipo huru’ kwa mara ya 173! 😂😂🤗
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni bingwa wa diplomasia ambaye amefanikisha kwa vitendo kuimarisha mahusiano ya kimataifa yenye tija katika maendeleo ya Taifa letu. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Tanzania ya Mama Samia ni Tanzania ya tabasamu, mshikamano na diplomasia ya kweli. Katika kila mkutano kuna upendo, katika kila mkono kuna mshikamano. Dunia inaiona Tanzania,nchi ya amani, ushirikiano na matumaini mapya. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Hakika tunasonga mbele
Tanzania ya Mama Samia ni Tanzania ya tabasamu, mshikamano na diplomasia ya kweli. Katika kila mkutano kuna upendo, katika kila mkono kuna mshikamano. Dunia inaiona Tanzania,nchi ya amani, ushirikiano na matumaini mapya. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Kwa Sasa Chadema ni kama parachute tu kazi Yao ni kilainishi kinapita Kila mahali #tag ya mkenya saivi imeisha 🧐 Mnasubiri mletewe nyingine mjilainishe wehu nyie
Baada ya kwenda ngome Lissu akamuachia Bambucha chama Kiufupi Maria Ndio fundi mitambo wa ufipa dah 😂
Utafiti wangu unasema ufipa walihisi kuwa na wananchi wanawaelewa Uongo wao. Wakawaaminksha kuwa wakiisema agenda yao Kwa kiingereza wananchi watawapumbaza Mungu ni mwema ikaja Kazi Na Utu Tunasonga Mbele Wananchi wakaipokea na Mazuri kwenye jamii yanaonekana Wakaanza et…
Mmejaa kwenye Mfumo sasa😀😀😀😀
🚨 VIRAL ALERT 🚨 ‼️Tanzania's Election Commissioner Caught in Massive Lie: 37M Voter Claim for 2025 Defies Population Math‼️ Tanzania's Electoral Commission claims 37M registered voters for 2025, up 29.55% from 29.7M in 2020. But with a population of 70.5M, 44.8% under 15, and…
Tanzania ya Mama Samia ni Tanzania ya tabasamu, mshikamano na diplomasia ya kweli. Katika kila mkutano kuna upendo, katika kila mkono kuna mshikamano. Dunia inaiona Tanzania,nchi ya amani, ushirikiano na matumaini mapya. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Before you leave for work drop yr ID's to gain📌