..Mercedes✨
@LilianLevelian
EXODUS 19:20 | INTROVERT |..
..No matter what battle you’re facing,you’re more than a conqueror through Christ.Keep going.
Panda SGR BUREE kwa kutumia SimBanking! 🚆📲 Lipia tiketi kupitia SimBanking App au *150*03# ujishindie zawadi kibao – ikiwemo Toyota IST au Harrier mpyaa! 🚗 Miamala 3 tu? Unapata Bima ya Maisha hadi Mil 4 papo hapo! #BenkiNiSimBanking #CRDBBank #SGRBureNaSimBanking
Kwamba Kenani ni Muhuni!??😁
Hii nchi inapenda sana wahuni, Kenani Kihongosi anapita njia za Bashite na atafika anapotaka kwenda 🙌🏼
China’s total rural road reached 4.64 million km by the end of 2024 & more than 500 thousand administrative villages have access to paved roads, according to a press conference of the Ministry of Transport of China. #Ruralvitalization
Ee Mungu wangu, ninapohisi woga, kushindwa, au kukata tamaa, nikumbushe kuwa wewe haujaniacha. Nitie nguvu upya, nijaze kwa imani, na nifunike kwa upendo wako usioisha. Niondolee roho ya hofu na unipe roho ya ujasiri, matumaini, na amani. Ameen 🙏🏼.
🇻🇦 BREAKING – Pope Leo XIV says, "Marriage is only possible between a man and a woman"
Wataalamu wa afya, tunawaamini mnalinda maisha. Simameni imara dhidi ya ukeketaji unaofanywa kisiri katika vituo vya afya. Mnapaswa kuwa walinzi, si washiriki. #UsinikeketeNilinde @cdftz
😂😂😂😂
Inavyoonekana kuja kuitoa CCM madarakani labda ipasuke mara mbili yenyewe kwa yenyewe. Hawa watu wapo kila mahali kama ushirika wa Wachawi 😂
Leo nimehutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma ambapo nimetumia jukwaa hili kuwaeleza Waheshimiwa Wabunge, kwa niaba ya wananchi wote, mambo mengi ambayo Serikali yao imefanya kuhakikisha ustawi wa wananchi na maendeleo ya…
Tunasubiri hotuba ya Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tunamshukuru Mungu kwa kuweza kufikia siku hii. #KaziNaUtuTunasongaMbele
𝐍𝐀𝐓𝐀𝐍𝐆𝐀𝐙𝐀 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐍𝐈𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐆𝐎𝐌𝐁𝐄𝐀 𝐔𝐁𝐔𝐍𝐆𝐄 𝐉𝐈𝐌𝐁𝐎 𝐋𝐀 𝐒𝐔𝐌𝐁𝐀𝐖𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐌𝐉𝐈𝐍𝐈 𝐋𝐄𝐎 𝐓𝐀𝐑𝐄𝐇𝐄 𝟐𝟕 | 𝐉𝐔𝐍𝐄 | 𝟐𝟎𝟐𝟓•
Safarini kwa treni kutoka Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma, ambapo pamoja na majukumu mengine, kesho Ijumaa Juni 27 nitahutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
PM Kassim Majaliwa awashukuru wananchi wa Ruangwa kwa ushirikiano na kutangaza rasmi nia ya kugombea tena Ubunge 2025. Asema atachukua fomu kuomba ridhaa ya kuwatumikia kwa awamu nyingine.
Your sibling’s children are your children.
Unspoken rules?
..None of us sit high enough to look down on anybody,Be humble.