Ngadu
@1ngadu1
Real Niggas Move In Silence. The Dodger Of @YoungAfricansSC & @ChelseaFC
Usikate tamaa kwa hicho unachofanya kuna siku kitaanza kuleta maana.
Chama Cha Mapinduzi kinaendelea kuwa chama imara chenye viongozi makini wenye moyo wa kuwatumikia watanzania. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM kwa weledi na umakini, akihakikisha kuwa viongozi wanaopitishwa ni wale wenye uadilifu, #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Chama Cha Mapinduzi kipo kwenye mikono salama ya profesa wa sayansi ya siasa na uongozi, Dkt. Samia Suluhu Hassan. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Juhudi za Mwenyekiti katika kuhakikisha Tunapata wabunge na Madiwani Wenyenia ya dhati na Taifa lao,Wataobeba uzalendo wa nchi yao. Mama anataka Bunge Lenye Nguvu Ya kuhakikisha ilani ya Chama inatekelezwa kwa Mda mfupi✍️ #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Kidumu chama tawala Chama Cha Mapinduzi chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan mwenyekiti ambaye ni profesa wa sayansi ya siasa na uongozi. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM kimefanyika chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Chama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kikao hiki ni sehemu ya kuhakikisha nidhamu, #kaziNaUtu #TunasongaMbele
📌📌 Kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM kimefanyika majira ya saa nane usiku chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia na kuchuja majina ya wagombea Jijini Dodoma tarehe 28 Julai, 2025. #kazinautu
Chama Cha Mapinduzi chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan kimejipanga sana kikiwa na lengo moja kupitisha viongozi waadilifu, waaminifu na wanaoweka mbele maslahi ya wananchi. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
History is for weak men to read and strong men to write.✍️ Prof wa Siasa SAMIA SULUHU HASSAN ameandika historia itasomwa kizazi hadi kizazi.
Kikao kinacholenga kusafisha njia ya uongozi bora ndani ya CCM kikiendelea Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kukagua kwa makini kila mgombea. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Majira ya saa nane usiku tarehe 28 Julai, 2025, Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ikiendelea na kazi ya kupitia na kuchuja majina ya wagombea chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
𝗠𝗔𝗠𝗔 𝗔𝗠𝗘𝗞𝗨𝗝𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗘𝗡𝗗𝗢 Miaka minne tu imeonyesha tofauti. Kazi imesimama. Mikono yake imejenga Tanzania mpya. Moyo wake unaleta faraja kwa kila Mtanzania. 📌 Amiri Jeshi Mkuu wa huruma. 📌 Mama wa maendeleo, siyo maneno.
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM kwa weledi na umakini, akihakikisha kuwa viongozi wanaopitishwa ni wale wenye uadilifu, #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Dkt. Samia Suluhu Hassan anaweka wazi dhamira ya kuhakikisha ifikapo 2030 kila Mtanzania aone mabadiliko chanya katika maisha, uchumi na nafasi ya Tanzania duniani. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Mama katuonesha wazi kuwa 2025/2030 Watanzania Waone matunda ya nchi yao,Waone Upambanaji wa viongozi wao,Waone Tanzania inasimama kwenye Rekodi za uchumi Afrika✍️ #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Mama katuonesha wazi kuwa 2025/2030 Watanzania Waone matunda ya nchi yao,Waone Upambanaji wa viongozi wao,Waone Tanzania inasimama kwenye Rekodi za uchumi Afrika✍️ #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Tanzania ni salama zaidi ya jana chini ya uongozi wa amiri jeshi mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Amiri Jeshi Mkuu. Kiongozi jasiri na imara. Mamlaka isiyoyumba. #OktobaTunatikiSamia
Juhudi za Mwenyekiti katika kuhakikisha Tunapata wabunge na Madiwani Wenyenia ya dhati na Taifa lao,Wataobeba uzalendo wa nchi yao. Mama anataka Bunge Lenye Nguvu Ya kuhakikisha ilani ya Chama inatekelezwa kwa Mda mfupi✍️ #KaziNaUtu #TunasongaMbele
Amiri Jeshi Mkuu. Kiongozi jasiri na imara. Mamlaka isiyoyumba. #OktobaTunatikiSamia
Kikao hiki ni sehemu ya kuhakikisha nidhamu, uadilifu na misingi ya uongozi bora ndani ya chama na Taifa kwa ujumla. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Katika kuimarisha nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama na Taifa kwa ujumla, Kamati ya Maadili ya CCM imefanya kikao muhimu leo jijini Dodoma ikiongozwa na mwenyekiti Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kujadili na kupitisha wagombea wenye maadili mema. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Katika kuimarisha nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama na Taifa kwa ujumla, Kamati ya Maadili ya CCM imefanya kikao muhimu leo jijini Dodoma ikiongozwa na mwenyekiti Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kujadili na kupitisha wagombea wenye maadili mema. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM kimefanyika chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Chama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kikao hiki ni sehemu ya kuhakikisha nidhamu, #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Katika kuimarisha nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama, Kamati ya Maadili ya CCM kinaendelea na kikao muhimu leo jijini Dodoma kikiongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kujadili na kupitisha wagombea wenye maadili mema. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
kikao cha kamati ya maadili CCM @ccm_tanzania kinaendelea.
kikao cha kamati ya maadili CCM @ccm_tanzania kinaendelea.
Katika kuhakikisha ustawi wa chama na taifa, Kamati ya Maadili ya CCM yazidi kuchuja kwa umakini wagombea wote. #kaziNaUtu #TunasongaMbele
Wakati wengine walilala, Mama aliendelea kuchambua kwa hekima,kwa maslahi ya chama na Taifa. Asubuhi hii tunashuhudia uongozi wa mfano: Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiendelea kuimarisha misingi ya haki, maadili na utumishi wa kweli ndani ya CCM.
History is for weak men to read and strong men to write.✍️ Prof wa Siasa SAMIA SULUHU HASSAN ameandika historia itasomwa kizazi hadi kizazi.