Eng Jubel
@EngJubel
I’m CEO, B*tch.
Unaowafichia fursa wao hua wanakuombea ufanikiwe maishani mwako, ndiyo sababu kuu.
Unaweza ukawa unapiga miayo lakini kiziwi anayekutizama akahisi tu unapiga kelele.
Nafahamu bila kupepesa macho baba yake babu wa babu yako haumfahamu kwa sura😁… Anza kuandika kitabu cha maisha ya wazazi wako weka na picha zao andika historia yako na mwisho utawaandikia watoto wako mpaka pale watakapokua wanajitambua. Ukijenga huo utaratibu basi utaishi…
Naombeni mnunue sabuni wateja tuna madeni wakuu Mzigo bado upo wa kutosha wakuu Price: 12000 (12k) 5 Ltrs Location📍:Ubungo Mawasiliano Contact☎️: 0786700273 Delivery 🚚: Tunafanya kwa gharama za mteja
DON’T START WHAT YOU CAN’T FINISH…….Good Morning ❤️ Mzigo bado upo wa kutosha wakuu Price: 12000 (12k) 5 Ltrs Location📍:Ubungo Mawasiliano Contact☎️: 0786700273 Delivery 🚚: Tunafanya kwa gharama za mteja
Tukijadili mambo kadhaa yanayohusu tasnia yetu ya muziki nchini #SamakiMwenyeKiuNdaniYaMaji
"wewe ni mwanaume" Ex-wako anataka kukutumia 200k ya lunch this afternoon,Utakubali?!🤗🤪
Naomba retweets hapa wakuu 🚨 HABARI NJEMA! 🚨 🌟 AIRTEL 5G ROUTER 🌟 ✅ Kasi Bila Mipaka – Furahia intaneti yenye kasi popote ulipo! ✅ Bando la Mwezi Bila Kikomo – Tumia bila hofu ya kumaliza kifurushi. ✅ Unganisha hadi vifaa 64 kwa familia yako au ofisi kwa ufanisi zaidi.
Usitamani safari ya mtu mwengine maana hujui kama alibebwa au alitembea.
Kuna jamaa wa Bongo HipHop wanajiita Tamaduni Music walala hoi. Wanafanya HipHop iliyo fanywa Marekani miaka ya 90 HipHop ya zamani Old School & 90s Boom Bap ilikuwa ya mafundisho, mitindo ya uandishi mzito na ujumbe wa kijamii. Bongo HipHop zamani ilipendwa sana, Mtu kama…
Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍 👉Size S_______2XL 👉Bei 27,000/= Wa.me/+255623346245 Au 0714336827 👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA
Unapoanza siku yako, usiruhusu jana yako ichukue mengi ya leo. Jana ilishapita, Leo ndio habari ya mjini.
Kuna kitu watu wengi hawajui… Afya ya uzazi kwa mwanaume ikianza kudhoofika, haiji kwa ghafla – huanza taratibu: Mwili kuchoka haraka, kushindwa kurudia tendo, au uume kulegea bila sababu ya moja kwa moja. Wengine hujifanya kawaida, wakidhani ni stress au kazi nyingi. Lakini…
Sio jambo dogo kulala na kuamka salama. Ni neema ya Mungu ya ajabu. Tushukuru. GOOD MORNING 🚦