๐๐๐ ๐๐ข๐ฉ๐ฅ๐๐ฉ
@DeveloperKipla
GRAY HAT | Code-Be-With-Me | IT | Manchester Utd | shitposting Don't follow if you're๐ ๐ณ๏ธโ๐.
"Africa unite" ~ Bob Marley
Talking stage mnasemanga nini? Huyu ashajua hadi pin yangu ya Mpesa.
Leo nimeamkia laundry alafu hio pesa ilikuwa nilipe mama fua ntatumia kupea mwili pole na bag ya jaba , foreign na njugu
Mnakataa kununua hii account ju mnataka nibaki na nyinyi huku ama ni pesa hamna๐๐
izo songs za pstr ng'ang'a nayo huguza adi roho
Even a chude genje like me needs a forehead kiss sometimes
Normalize praying in the mornings you don't know what awaits you later in the day
' The bars was so low ' is just a fancy way of saying you saw rock bottom got a lil' kinked out
Huwa mnapea mama fua cuhm rug ama hio mwenyewe ndo anafua
Tukiwa primary hawa watu wafupi walikuwa wanatuchongoa eti sisi ni warefu hadi tunaeza ongeza jua makaa see their lives now bunch of fools wamekataa kumea
Ati vile uko na birthmark mingi hivyo ndio umezaliwa sana ,huh mko na mchezo Sana ๐ฎ๐
Leo nimedungia fity nimepita mahali madem wakageuka ambulance ni wow wow wow kila mahali napita
Unampigia hadi na video call ni kama siwezi panda kwa ceiling ๐
Hii kiatu inanifinya sai vile dem wako ataenda kufinywa after ametoka church.