MR LIFE🪽💻⌨️🎮
@BabaAtifah
instar #mysetup_tz ||Gaming accessories🎮||gadget||laptop 💻||setup || #juiceworldqMusic call or WhatsApp+255692562259 https://wa.me/message/JNFMAI4MSHDBP1
Repost NEW STOCK Brand New MSIModel : (MSI MAGA 342CQR E2) 34inch gaming monitor ,4k Refresh 180hz Price 1,350,000/=tsh Call or whatsap 0692562259 Fika ofisini kijitonyama




💻 HP OMEN 15 – i5 + GTX 1660 Ti Edition ⚙️ Intel Core i5 – 9th Gen (9300H / 9400H) 🎮 NVIDIA GTX 1660 Ti – 6GB GDDR6 ⚡ 16GB DDR4 RAM 💾 512GB SSD (Samsung) 📺 15.6″ Full HD Display – 144Hz 🔊 Bang & Olufsen Audio ⌨️ Red Backlit Keyboard Price 1.8M CALL 0692562259




Akika sio kila gumu unalopitia unamwambia mama ,,jua Akina mama wanaumia sana mtoto wake wa kiume akiteseka,,,
Sema wachaga wachawi sana 😄nilikaa mgahawa mmoja sasa Meza yangu jirani wapo washikaji 3 wawili wamerudi juzi tu toka kwao kuja dar sasa uyu wa apa dar kila anae muulizia kafa au Kawa chizi😄😄😂😂🙌🙌ikabidi niame meza
Kwenye ukoo akitokea mtu analeta uswahili wa kuuwana kwa njaa zake akika nae inabidi auliwe kwa uswahili uwo uwo
Repost 🔥AOC AGON 49” Curved Ultrawide Gaming Monitor🔥 Dual QHD 5120x1440 120Hz/144Hz Refresh Rate FreeSync Premium USB-C, DisplayPort, HDMI Perfect for gaming, editing, multitasking & movies 🎮🎬 📦Available Now - 0692562259 Price 2.5M



U don't need kufikilia ubaya kila kitu maishani brother, ata Mungu awezi Sema kusudio lako eti limekua sahihi pale kwa mtu aliyejawa na maumivu ya maisha kuwa anaigiza ili apate msaada wako ,amini tu kuwa iyo ndio ilikua ridhiki yake Mungu alimfanya aingojee kwako
Usikute huyo mtoto yupo naye kimkakati ili watu wenye huruma na utu kama wewe muzidi kumchangia.....MJINI MIPANGO
Kwa points iyo uwenda akuna tunachotumia kwa wingi tukawa tumezalisha wenyewe
Lindi ni sehemu ndogo sana ya Tz😂
Delivery kibada For gaming setup gadgets 0692562259 Instagram @Mysetup_tz

Play ngoma ya TID nilikataa
Kuna demu angu tulikua tunapendana tukawa tunaitana "Tchalla na Nakia" kama kwenye Black Panther....Ila nasikitika Nakia yupo Igunga Tabora ameshazaa na Jamaa mwingine.😭😭😭😭😭💔
Trust me wanaume tulio vunjwa mioyo kwa matukio ni ngumu kupenda tena kama mtoto
Sio kweli ankoli nenda kwetu lindi ukajionee
Ila hadi leo tunatumia CHUMVI ya Kenya wakuu. Huwa sielewi🤔
Hii TATA
Hivi wamiliki wa mabasi wanadhani mabasi yao yanakuja kubeba watoto? Hapo mtu mzima unakaaje, na hi VIP huko Mtwara 😂