️ ️️️️️️️ ️ ️
@vincii_1
Hivi ndio unajuanga mtu amejoin hii app 2025
Unaenda kukiss morio wako unapata mate inaonja ya dem wako
When you learn to love yourself, your taste in women will change.
Nataka next year nihame home Nianze life ,one of my friend naona alitoka kwao Na Ni a year younger than me. But ye alitoka ju huwa anagongewa mum na pia ma siz wake
Give us our daily bread... Hii statement made me think miracles happen till I realized i needed to work my ass off for the bread.
Katoto kakimeza pesa kanafaa kupelekwa hosi ama Mpesa tukawithdraw😂
Hii 20s ni ya kumake mistakes lakini usipate ukimwi or uende jela bois
Insecurities nilikua nayo kwa huyo dem imepotea after nimemdinya
Kusema ukweli, what do you do for a living? Ama niachane na maisha yako??
Goodnight guys imma leave you with this famous methali:- “Umthaniaye, Ndiye mdinye”
Kukuwa street smart si kuvuta bhangi na kuibia watu simu,hiyo ni uchokora.