jack
@unattendedjack
'The enemies of the people are those who keep them in ignorance' ~Thomas Sankara
Huyu wa saaii ameniambia anapika ugali kubwa ndo tubakishe ya breakfast 😅
Ogopa wamamaz wakamba huyu nimemaliza kumpiga shughuli alafu ananiambia "ndina mbesa".
A video call with mum na siezi maliza 10mins kama sijabreak down after ameuliza kama niko sawa😭😭 Mungu baba
Facebook nayo hukuwa na wenyewe nilipost uko adi haikupata like ata Moja 😂😂😂
Sisi watu wa baba hatujajua mtu tutapigia kura 2027 whoever baba endorses ...we are with him
apo kwa J Pedro nayo Chelsea walibag talent no lies
Smallwigs ni masaa ya kuchota followers sasa🔔 Copy paste handle upate followers chapchap🌿👇
akuna ktu huuma keeper kama kushika ball alafu ipenye iingie
Mambo ya favor apana siwezi interfere na plan za mungu kwa life yako 🙃ni yeye anajua sababu ya wewe kusota 🙃
You think I like you? get me drunk and see who I cry for😭😂
Mwenye anasupply namba yangu si upatie ata watu wana earn salary, hawa wa "hey cousin" watanimaliza😅💔
Ukitaka kuamini magic inaexists ebu leo lala na miguu chafu alfu ukiamka kesho uniambie💀😹🤌