Therealodoi
@therealodoi1
chelsea fc 💙
Ukicheka, Watu Watacheka Na Wewe Ukilia ...Utalia Peke yako. Kumekucha
…Haka kamgahawa kwenye BREAKING BAD kanakupatia majibu ya maswali kuhusu biashara kwenye frame za sinza zile mtu anauza socks 🧦 ila nje amepark range, analipa rent 2m kwa mwezi na ofisi ni full kiyoyozi. Behind the scene, ile ni lab.😂🙌🏻…
Dakika 30 wewe ni nani labda roboti?
Ile moment umemchezesha miti mtoto wa watu kwa dakika 30 uanze kuona maji yanaruka
Gyokeres kuja Man U ni ndoto inayosubiriwa na kila shabiki wa Man U itokee😤
Gyokeres kuja Man U ni ndoto inayosubiriwa na kila shabiki wa Man U itokee😤
Sema yule tajiri la kihaya atachukua muda sana kuwatesa mabinti na akina mwanangu .. 😂
Walokole huonaga kama wao ndo’ wataenda mbinguni moja kwa moja…Wanaona kama makanisa mengine hayana Mungu🤣🤣🤣
Ukishatuma muamala ukapiga simu haipatikani kichwa kinaanza kupata moto na kujua tayari umetapeliwa
1.Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipatana vema na wakipendana 2. Kama umande mzuri unyweshavyo shamba, hivyo na Mungu wetu abariki ndugu 3. Upendano hujenga boma zuri kwao wakae na amani waliookoka 4. Na ulimwengu wote wavutwa nuruni halafu kundi moja na Mchunga mmoja tu
Mtu kapigwa mnampa ushindi wa nini? Usenge mtupu. Vitasa vya kisenge 🚮.