LUSAJO
@sajo_mwaihabi
Grow your Company/Business Sales with Me | Increase your Market Outreach with Me | I'm the Founder & MD at @ebdigitaltec | JESUS IS MY LORD
Ebook yetu ya UJASUSI KATIKA BIASHARA kuanzia Sasa inapatikana kwa Tsh. 29,900/- tu! Anae shauriwa kununua:- 1. Wanaofanya issues za kuapply Tenders 2. Maboss wa Kampuni wanaotafuta Connection za deal 3. Anaetaka kuomba tenda kwenye kampuni fulani directly Check us 0748127173

Mwezi wa Nne Nilipoenda kwenye kampuni moja ya TECH pale Oysterbay kufanya Training ya LEADERSHIP & BUSINESS MANAGEMENT kwa Top Management & HODs, nilikutana na HOD mmoja ambaye nae ananifaham humu X. Alishare nami stori moja ambayo leo ningependa kushare humu IWASAIDIE MABOSS
Simple Timberland unavaa casual na official 🔥 . Bei ya Marathon: 60,000/=badala ya 75,000/= . Size 40-44 . Njoo Whatsapp Chap ☎️: 0743931620 . P. S. Mkoani unapokea ndani ya masaa 24 tu 🛍️ . @MiriamMkanaka @Eric__Bernard @Adventure_36 @KingPablotz @YourFrenchFry @funjojr
Kama una MALENGO makubwa unayaendea, na unajiona kabisa lakini unapenda ZINAA na inakuendesha amini kwamba huwezi kufikia MALENGO YA MAONO YAKO!! Uzinzi Unaua MAONO!! Uzinzi Unaondoa HESHIMA Ya UTU Wako!! Uzinzi Unaleta UMASIKINI uzinzi unaleta DEPRESSION UZINZI UNAUA