Mr.Right's son
@dosantosgeorge2
football gives me happiness⚽|| ||@chelsea fc|| ||http://wa.me//0794023635||
Kukojoa ni short call,kukunia ni long call na kunyamba je?
Nimepigwa ngumi kwa matanga nikafaint mkuje mnione Agoro hospital😭
Huku kwa mzazi unakula jaba na sahani ya ugali kando usijipeane
Kumbe uko na tattoo. Shiet, moyo imetoka
Wueeh Monday is finally over day well spent😏I'm fwackin tayad 😞sahii nkashika kijana wa wenyewe 😂 ama wacha tu l...😂😂
Unazikwa na sutii alafu unakujia watu kwa ndoto na kanzu ya white,kwani sutii yetu uliuza?
Coach akishapata options in your position playing time isn't guaranteed, let that sink🤞
Sikumuacha Kwa ubaya lakini ata wewe unaweza date dem anashika mjulus yako kama sigara.😂😂😂💀💔
Kuwa na sura mbaya na kukataliwa uko nje nilimake peace nayo kitambo.