TweetElite 🇨🇦.
@Unruly737
Just a nigga with thoughts . Uncensored tweets . Manchester united 🫶 Electrical Engineer✊
Sipendi kufananisha nguo na watu kwanza I loathe hizo nguo za wasichana zenye zinauzwanga 650-1500 heri nitembee na matawi kama mababu
Nataka kuongeza loyals before nifike locals,weka handle tuconnect ASAP.
Unemployed wenye tunaishi bedsitter, ukiwa na food kejani ata ma neighbors awawezi jua kama uko around
Mzae anaingia home late akiwa mlevi ukimfungulia gate anaanza kuwakelelesha mbona hamjalala😂😂
Sio ety tumesahau hii pic
Wueeh Monday is finally over day well spent😏I'm fwackin tayad 😞sahii nkashika kijana wa wenyewe 😂 ama wacha tu l...😂😂
I need a scarecrow kwa hii shamba,munipee mamanzi wenyu nitawalipa😂😂
Skuizi adi nliacha kufua wikendi juu ya venye Monday hukua ndefu