ALEJANDRO™🇰🇪
@mchuku_zii
Young therapist //Always happy//
Kuna morio zimeshika hapa ameanza kusema anataka mamake wacha tumtafutie dem mnono kama gaitho
Uki estimate the whole of your shoe rack, inaeza kuwa worth how much hivi?😂
You people should marry me...kwani munataka ni fike menopause nikiwa kapkomol without children 😭😭😭
Ukinyimwa kama umevaa cd io cd unatupa ama unarudisha kwa kalatas utatumia siku ingine
Hata kama nateseka solo I will always pray for you guys to succeed.
Kuna siku tumeenda hosi na mpoa daktari akasema hakuna shindano nikamshow amdunge Kisu💀
Nataka nionje a petite lightskin Meru babe before mwaka iishe.
Mlimaliza aje ile debate ya mayai,iwekwe kwa fridge ama isiwekwe? Makosa isifanyike
Huyo singo mother kama sio hako katoto kake trust me hangekuangalia mara mbili.
nilichange music taste kabsa sahii napiga maraondi huko south africa listening to greatness
Hii wiki deals zangu Worth 15k in total zimeuma nje, naskia kulia bana 😭
It’s time sisi watu wa Aluta tupatane tuchane kama mbogi, tupepe angaani pamoja
Ni mrembo lakini makwapa mtu wangu makwapa inanuka siwej😏😏
Morara anarudishia watu walisimama Na yeye Kwa maombi hio maombi yao?
Sometimes you listen to someone’s problems and even though their problem is smaller than yours, you just stay quiet and listen without talking about your own problems.
Niaje wazito, leo nime come across website ingine hapa na ina pay kitu $10-$25 Ku test unreleased apps na unapeana feedback. Check thread